Rais Magufuli apokea msaada wa Malori 2 ya kuzolea taka kutoka ubalozi wa Kuwait

Chachu Ombara

JF-Expert Member
Dec 11, 2012
5,897
10,353
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. John Pombe Magufuli leo amepokea msaada wa malori mawili ya kuzolea taka yaliyotolewa na nchi ya Kuwait, magari hayo yamekabidhiwa na Balozi wa Kuwait nchini Mhe. Jasem Ibrahim Al Najem alipofika kumtembelea.

Magari hayo yametolewa na Serikali ya Kuwait kwa lengo la kuunga mkono kampeni ya usafi hapa nchini.

k5 (1).jpg
k7.jpg
 
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. John Pombe Magufuli leo amepokea msaada wa malori mawili ya kuzolea taka yaliyotolewa na nchi ya Kuwait, magari hayo yamekabidhiwa na Balozi wa Kuwait nchini Mhe. Jasem Ibrahim Al Najem alipofika kumtembelea.


Pamoja na shida zetu hii siyo ya kumpa zawadi Rais malori mawili ya kuzolea taka hiyo ilimstahiri Mh Jafo wa TAMISEMI.
Kuwait na miela yenu ya mafuta mlichofanya siyo kabisa!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!
 
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. John Pombe Magufuli leo amepokea msaada wa malori mawili ya kuzolea taka yaliyotolewa na nchi ya Kuwait, magari hayo yamekabidhiwa na Balozi wa Kuwait nchini Mhe. Jasem Ibrahim Al Najem alipofika kumtembelea.


Ni kudhalilisha taasisi ya u-Raisi kumpangia Raisi & Jemadari Mkuu wa nchi inayopaswa kuwa "donor country" ratiba ya kwenda kukabidhiwa malori mawili ya kuzoa taka! Meya wa jiji angetosha kabisa!
 
Mola asante! Kama kuna shari ya aina yoyote wafe tu!
 
7 Reactions
Reply
Back
Top Bottom