Rais Magufuli apiga simu tena Clouds 360, awapongeza kwa kazi nzuri

Hivi punde mheshimiwa Rais Magufuli amepiga simu live muda Muda katika kipindi cha clouds 360 kinachorushwa moja kwa moja toka hotel ya whitesands Hotel ,na kuwapongeza ATCL,shirika la bima,vodacom na TTCL pamoja na wadau wengine walioshiriki
 
Habari zenu wadau.
Nipo naangalia 360 clouds live wakiwa katk hotel ya whitesands.Rais Magufuli amepiga simu kutoka kijijini kwake Chato alikiwapongeza vijana wa clouds kwa ubunifu wao ktk kuendesha vipindi vyao.hongereni clouds, tbc1 kuwen wabunifu
 
Back
Top Bottom