Wakat akiwa mwenyekiti wa CCM, cheo cha urais anamwachia mbowe?Lakini na yeye ni mwenyekiti wa CCM, vipi aitweje?
Kwani kiongozi wa ccm akiitwa mweshimiwa bei ya sukari inashuka?Hii inamsaidia nini mwananchi wa kawaida ambaye ananunua sukari kilo moja kwa sh. 2700/=
Mitaani tumezoea ni aje brazaa?Habari wanajamvi la JF,
Mwenyekiti wa Chama Cha Mapinduzi, Rais John Magufuli ameelekeza ni marufuku kwa kiongozi yeyote wa CCM kuitwa mheshimiwa
Ataka aitwe ndugu au Komredi.
Unajua kusoma?Hii inamsaidia nini mwananchi wa kawaida ambaye ananunua sukari kilo moja kwa sh. 2700/=
Uzuri walioanzisha ni hao haoHabari wanajamvi la JF,
Mwenyekiti wa Chama Cha Mapinduzi, Rais John Magufuli ameelekeza ni marufuku kwa kiongozi yeyote wa CCM kuitwa mheshimiwa
Ataka aitwe ndugu au Komredi.
Zamani tulikua tunaitana ndugu, wabunge wa CCM wakaja juu wakapitisha sheria waitwe waheshimiwa nchi haikubadilika wala hawakuongeza tija ya utendaji kwa kuitwa waheshimiwa wala hakuna maendeleo yaliyopatikana kwa wao kuitwa waheshimiwa kama ambavyo hakuna litakalobadilika kwa wao kurudi kuitwa au kuitana ndugu. Maneno au majina ya kuitana wanasiasa hayaendelezi nchi ila matendo ndio huedeleza au huipoteza nchi.Habari wanajamvi la JF,
Mwenyekiti wa Chama Cha Mapinduzi, Rais John Magufuli ameelekeza ni marufuku kwa kiongozi yeyote wa CCM kuitwa mheshimiwa
Ataka aitwe ndugu au Komredi.
Hama nchi ukanunue shs 500 huko ujuako!Hii inamsaidia nini mwananchi wa kawaida ambaye ananunua sukari kilo moja kwa sh. 2700/=
Ulitaka ununue kwa senti mbili kama zamani? Rudisha muda nyuma.Hii inamsaidia nini mwananchi wa kawaida ambaye ananunua sukari kilo moja kwa sh. 2700/=
Haishuki hata akiitwa nyaniKwani kiongozi wa ccm akiitwa mweshimiwa bei ya sukari inashuka?