Hii ni rushwa kama rushwa ya ngono. Haiwezekani mhimili unaofanya kazi ya Oversight uhongwe vitu vidogo vidogo na mhimili unaofanya kazi za kiutendaji. Hapo hoja yoyote mbaya Sab-woofer lazima ataizima kulinda hiyo hongo aliyoahidiwa.Rais Magufuli ametoa pendekezo kuwa soko kuu jipya linalojengwa jijini Dodoma liitwe Soko kuu la Ndugai.
Hii ni kstika kuenzi mchango wa Spika Job Ndugai wa kuuletea maendeleo ya haraka mkoa wa Dodoma
Source TBC
Ndugai ajiuzulu ili apewe uwaziri kabisa.