Mwanahabari Huru
JF-Expert Member
- Mar 9, 2015
- 14,243
- 34,899
Urais ni taasisi fahamu hilo, ukimtizama Magufuli binafsi utaachwa na basi
Rais ATAPA?????? Duuuuuh kazi ipo. Unakimbilia wapi?
Kwa hiyo Mwanahabari huru, watu wakiwa kwenye msiba huwa hawafungui kinywa? Au unataka kusemaje?
Asante kwa taarifa hii nzuri sana kwamba watu wasione hajajihusisha na mazishi ya kitaifa, yeye bado anatimiza kauli mbiu ya #HAPAKAZITUU kwa kunywa chai na wenzetu TRA wa barabarani.
...kwani maombolezi yana ambatana na kufunga !?Maombolezo ya kitaifa!!! Nahisi tulikuwa tunaambiwa sisi kina yakhe