Rais Magufuli aongoza kikao cha kwanza cha Baraza la Mawaziri Ikulu jijini Dodoma, Rais Mwinyi aapishwa kuwa Mjumbe wa Baraza

mwanamwana

JF-Expert Member
Aug 1, 2011
1,075
4,111
Rais wa Tanzania, John Magufuli leo Jumatano ataongoza kikao cha kwanza cha Baraza la Mawaziri jijini Dodoma. Matangazo ya moja kwa moja ya kikao hicho yatarushwa kuanzia saa 4:00 asubuhi.

Historia itawekwa leo ikiwa ni mara ya kwanza kikao cha Baraza la Mawaziri kurushwa mbashara kwenye TV na Redio mbalimbali nchini.

=========

Kikao cha baraza kinaanza kwa kiapo cha Dkt. Mwinyi kama Mjumbe wa Baraza la Mawaziri mbele ya Jaji Mkuu wa Tanzania, Profesa. Ibrahim Juma na kuwa mjumbe Rasmi wa Baraza la Mawaziri.

Mwinyi.jpg

Jaji Mkuu Profesa Juma akimwapisha Dkt. Mwinyi kuwa Mjumbe wa Baraza la Mawaziri

Rais Magufuli anampongeza kwa kuapa na kumkaribisha kwenye kikao, Rais Magufuli anawakaribisha wajumbe wote na kuwapongeza kuwa wajumbe wa Baraza la Mawaziri.
1.jpg


 
Rais Wa Jamhuri Ya Muungano wa Tanzania
Anatufanyizia Kazi
Nasema Uongo Ndugu Zangu
 
Seif ni Makamo wa SMZ Watanganyika mnaumia sana WAZANZIBAR wakiungana hivi shida yenu ni nini??
Nani ana shida mkoa ukiungana? Tatizo ni pale unapopata mimba ya kubakwa kisha ukimzaa mtoto useme watu wanakuonea wivu kwa mwanaume uliyeridhika naye!
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom