mwanamwana
JF-Expert Member
- Aug 1, 2011
- 1,076
- 4,113
Rais wa Tanzania, John Magufuli leo Jumatano ataongoza kikao cha kwanza cha Baraza la Mawaziri jijini Dodoma. Matangazo ya moja kwa moja ya kikao hicho yatarushwa kuanzia saa 4:00 asubuhi.
Historia itawekwa leo ikiwa ni mara ya kwanza kikao cha Baraza la Mawaziri kurushwa mbashara kwenye TV na Redio mbalimbali nchini.
=========
Kikao cha baraza kinaanza kwa kiapo cha Dkt. Mwinyi kama Mjumbe wa Baraza la Mawaziri mbele ya Jaji Mkuu wa Tanzania, Profesa. Ibrahim Juma na kuwa mjumbe Rasmi wa Baraza la Mawaziri.
Jaji Mkuu Profesa Juma akimwapisha Dkt. Mwinyi kuwa Mjumbe wa Baraza la Mawaziri
Rais Magufuli anampongeza kwa kuapa na kumkaribisha kwenye kikao, Rais Magufuli anawakaribisha wajumbe wote na kuwapongeza kuwa wajumbe wa Baraza la Mawaziri.
Historia itawekwa leo ikiwa ni mara ya kwanza kikao cha Baraza la Mawaziri kurushwa mbashara kwenye TV na Redio mbalimbali nchini.
=========
Kikao cha baraza kinaanza kwa kiapo cha Dkt. Mwinyi kama Mjumbe wa Baraza la Mawaziri mbele ya Jaji Mkuu wa Tanzania, Profesa. Ibrahim Juma na kuwa mjumbe Rasmi wa Baraza la Mawaziri.
Jaji Mkuu Profesa Juma akimwapisha Dkt. Mwinyi kuwa Mjumbe wa Baraza la Mawaziri
Rais Magufuli anampongeza kwa kuapa na kumkaribisha kwenye kikao, Rais Magufuli anawakaribisha wajumbe wote na kuwapongeza kuwa wajumbe wa Baraza la Mawaziri.