mdetichia
JF-Expert Member
- Feb 13, 2015
- 5,292
- 2,169
Kiswahili bwana eti ugeni mzito kwani kuna ugeni mwepesi?Dodoma imehost ugeni mzito
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kiswahili bwana eti ugeni mzito kwani kuna ugeni mwepesi?Dodoma imehost ugeni mzito
Mbona ume 'exempt' Richmond?au unaogopa kukosa bakuli la uji na kipisi cha bange?
Haya ngoja tusubiri maamuzi ya viwanda mwaka wa 53huu kama ni ndevu basi zina mvi bado tunapiga kwata kuuzunguka mbuyu wakati wenzetu wakiwa na mpango wa kwenda kuishi sayari nyingineVitu kama hivi CHAGADEMA Hutaviona
wao wakisha kaa chumbani Watu 3 Tayari maamuzi
Yani kila nikiona haya maneno huwa nacheka sana, na kulikumbula hilo jabal"His Excellency President for Life, Field Marshal Alhaji Dr. Idi Amin Dada, VC, DSO, MC, CBE".
Hivi huwa mnalipwa kiasi gani wa kujitoa AKILI Kiasi hiki ?Uwe "unachomoka" kwanza kwenye kitu chenye ncha kali ulichokalia kabla hujakimbilia kujibu post za kiume,nitaiachaje Richmond wakati Richmond ni zao la majadiliano ya baraza la mawaziri lililoongozwa na Kikwete?Siwezi kuacha kuitaja kampuni inayolitafuna Taifa mabilioni ya shilingi.Richmond ni aibu ya serikali ya CCM,mlipoamua kumtoa sadaka Mh.Lowassa,mliitakatisha Richmond na kuiita Dowans na sasa Symbion Power,hadi leo serikali inailipa Symbion mabilioni ya shilingi,lakini kwa sababu tatizo lilikuwa ni "Uwaziri mkuu" wa Mh.Lowassa,hakuna hata mmoja anayehoji mabilioni yanayokombwa na Symbion kila siku kupitia mitambo ileile ya Richmond tulioaminishwa kuwa ilikuwa ni mitambo chakavu.
Onyesha vya kwako kwanza usituchanganyie mada hapa.Tunataka ufafanuzi wa Vyeti vya bashite
Namna ya kumnusuru daud bashite na masuala ya vyetiAgenda kuu ni nn
Vitu kama hivi CHAGADEMA Hutaviona
wao wakisha kaa chumbani Watu 3 Tayari maamuzi
Haaahaaaahaaaa. Hapo kimekosekana kiroba Mkuu. Bahati mbaya vimepigwa stop.Mbona ume 'exempt' Richmond?au unaogopa kukosa bakuli la uji na kipisi cha bange?