Mwanamayu
JF-Expert Member
- May 7, 2010
- 11,349
- 6,476
mwambie aende pale kwa makapuku wenzake wanaoshangilia ndege na ili khali hospital hakuna Dawa.
Ndege ndio zitaleta dawa kwa wingi bila ukomo ingawaje return hiyo inachukua ka muda kidogo badala ya utafutaji dawa wenye ukomo.