Rais Magufuli aonesha uwezo mkubwa kwenye janga la Corona duniani

Nazgur

JF-Expert Member
Apr 19, 2020
3,730
2,850
Toka lilipoingia janga hili raisi alitoa msimamo kuwa watu waendelee ka kazi ila wachukue tahadali kwa kufuata mashrti yaliyowekwa na wizara ya afya.

Pili, akasema hii ni vita hivyo tutmie kila siraha kupambana na huu ugonjwa, tutmie pia maombi na dawa za asili na kupiga nyungu ili kuutokomeza ugonjwa huu.

Nchi jirani na wanasiasa wa hapa kwetu na baadhi ya viongozi wa dini a wanachi pingapinga wakabeza na kufuata ushoshoo wa ulaya kwamba raisi anashauli vitu vya hovyo, visivyo vya kitaalam.

Sasa wale waliokuwa wanashabikia majirani kuwa wanachukua hatua za kufunga baadhi ya maeneo au kuweka lockdown mkamsikilize Uhuru Kenyata, sasa kasalim amri na amewatangazia wanachi kuwa ataondoa masharti yote ya lockdown na watu waendelee kazi zao ila wachukue hatua za kujikinga.

Huku wagonjwa wakiongezeka kila siku na kufikia elfu moja na zaidi, Mamabukizi yanaongezeka masharti yanaondolewa sasa hapo maana yake nini?

Je, hasara kiasi gani wamepata kwa hizo lockdown na ugonjwa bado upo?

Viva Magufuli. Viva Tanzania kwa kupata raisi mwenye maono.
 
Uwezo gani wewe jikinge watu wanakufa wewe.Angalia afya yako.Uwezo wa kutokupima watu?uwezo gani waliambia watu wafanye kazi unafanya kazi gani sasa na hayo mazao unamwuzia nano wakati utaki kufuata maelekezo ya kanuni za afya.

Yaani watalii mtawasikia Kenya nyie .Juzi WHO wameandika Tanzania ni kati ya nchi hatari za kutembelea .Mnachekeana tu.Ukiumwa au kuuguliwa ndio utaijua Tz na system iliyopo ya afya.
 
Toka lilipoingia janga hili raisi alitoa msimamo kuwa watu waendelee ka kazi ila wachukue tahadali kwa kufuata mashrti yaliyowekwa na wizara ya afya,
Pili akasema hii ni vita hivyo tutmie kila siraha kupambana na huu ugonjwa, tutmie pia maombi na dawa za asili na kupiga nyungu ili kuutokomeza ugonjwa huu.

Nchi jirani na wanasiasa wa hapa kwetu na baadhi ya viongozi wa dini a wanachi pingapinga wakabeza na kufuata ushoshoo wa ulaya kwamba raisi anashauli vitu vya hovyo, visivyo vya kitaalam,

Sasa wale waliokuwa wanashabikia majirani kuwa wanachukua hatua za kufunga baadhi ya maeneo au kuweka lockdown mkamsikilize Uhuru Kenyata, sasa kasalim amri na amewatangazia wanachi kuwa ataondoa masharti yote ya lockdown na watu waendelee kazi zao ila wachukue hatua za kujikinga,

huku wagonjwa wakiongezeka kila siku na kufikia elfu moja na zaidi,
Mamabukizi yanaongezeka masharti yanaondolewa sasa hapo maana yake nini?
Je hasara kiasi gani wamepata kwa hizo lockdown na ugonjwa bado upo?
Viva Magufuli
Viva Tanzania kwa kupata raisi mwenye maono
Furahini kwakua huu ugonjwa haukua na impact kubwa kwetu.
La sivyo, tungepukutika kama kuku wenye mdondo

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Uwezo gani wewe jikinge watu wanakufa wewe.Angalia afya yako.Uwezo wa kutokupima watu?uwezo gani waliambia watu wafanye kazi unafanya kazi gani sasa na hayo mazao unamwuzia nano wakati utaki kufuata maelekezo ya kanuni za afya.Yaani watalii mtawasikia Kenya nyie .Juzi WHO wameandika Tanzania ni kati ya nchi hatari za kutembelea .Mnachekeana tu.Ukiumwa au kuuguliwa ndio utaijua Tz na system iliyopo ya afya.

Katizame speech ya kenyata utajua kuwa hata ukipima haisaidii,
pia kupima watu wote ni kitu hakijawezekana, hata huko marekani toka wamepima hwajafikia hata robo ya watu wake na wako na uwezo mkuwa wa kifedha.

Watapimwa wale wanaoonyesha dalili tu, pia ujue hukobkenya wamejikinga na kupima lakini ugonjwa unazidi kusambaa sasa nipe jibu hapo wame pass au wameshindwa?
 
Katizame speech ya kenyata utajua kuwa hata ukipima haisaidii.

pia kupima watu wote ni kitu hakijawezekana, hata huko marekani toka wamepima hwajafikia hata robo ya watu wake na wako na uwezo mkuwa wa kifedha.

Watapimwa wale wanaoonyesha dalili tu, pia ujue hukobkenya wamejikinga na kupima lakini ugonjwa unazidi kusambaa sasa nipe jibu hapo wame pass au wameshindwa?
Kupima watu wote inawezekana kabisa.

Ni suala la kuwa na rasilimali za kutosha na dedicated staff yenye weledi na ari ya kuchapa kazi.

America wanaendelea kupima daily.. ni progressive. Sio kitu cha kupima sehem moja halafu unaacha.

Wanapima na wataendelea japo kuwa itachukua muda mrefu.
Na hawapimi wagonjwa tu. Hata wale ambao hawaonyeshi dalili.

WHO wametoa report juzi juzi kuwa 35% hawaonyeshi dalili japokuwa mdudu anakuwa ameshaingia ndani. Na wanatembea nae.
 
Katizame speech ya kenyata utajua kuwa hata ukipima haisaidii,
pia kupima watu wote ni kitu hakijawezekana, hata huko marekani toka wamepima hwajafikia hata robo ya watu wake na wako na uwezo mkuwa wa kifedha,
Watapimwa wale wanaoonyesha dalili tu, pia ujue hukobkenya wamejikinga na kupima lakini ugonjwa unazidi kusambaa sasa nipe jibu hapo wame pass au wameshindwa?

Hawaja pass wala hawajashindwa, ni mapema kusema kwa kuwa bado ugonjwa upo. Na hata hapa kwetu ugonjwa bado upo.
Kwa ujumla mpaka sasa ugonjwa wa corona haujawa na athari kubwa barani Africa ukilinganisha na Ulaya na Amerika.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Anayemwona mwingine ana uwezo ni kwa sababu hana uwezo ..sifuri..hata wa kufikiri. Ni upepo mtupu.
 
Uwezo gani wewe jikinge watu wanakufa wewe.Angalia afya yako.Uwezo wa kutokupima watu?uwezo gani waliambia watu wafanye kazi unafanya kazi gani sasa na hayo mazao unamwuzia nano wakati utaki kufuata maelekezo ya kanuni za afya.

Yaani watalii mtawasikia Kenya nyie .Juzi WHO wameandika Tanzania ni kati ya nchi hatari za kutembelea .Mnachekeana tu.Ukiumwa au kuuguliwa ndio utaijua Tz na system iliyopo ya afya.
Who is WHO? WHO imeshapoteza mvuto, kote duniani haiaminiwi! Itabidi lianzishwe shirika mbadala wa WHO!
Tz ipo vizuri na watalii wataendelea kuja kwa kasi! Mungu naombi uzidi ibariki Tz!
 
Hawaja pass wala hawajashindwa, ni mapema kusema kwa kuwa bado ugonjwa upo. Na hata hapa kwetu ugonjwa bado upo.
Kwa ujumla mpaka sasa ugonjwa wa corona haujawa na athari kubwa barani Africa ukilinganisha na Ulaya na Amerika.

Sent using Jamii Forums mobile app

Hapo sina tatizo kuhusu ugonjwa upo, shida yangu ni kwamba watu walitaka tufanye kama ulaya huku sisi ni africca,

Shida nipale watu walimbeza mr president kisha aliyoamua katika taifa ndo mataifa yanaaza kurudi huko huku wampata hasara,
Mataifa ya africa tungepiga nyungu wote na kunywa mavitunguu swaum tungepunguza sana tatizo.
 
Kupima watu wote inawezekana kabisa.

Ni suala la kuwa na rasilimali za kutosha na dedicated staff yenye weledi na ari ya kuchapa kazi.

America wanaendelea kupima daily.. ni progressive. Sio kitu cha kupima sehem moja halafu unaacha.

Wanapima na wataendelea japo kuwa itachukua muda mrefu.
Na hawapimi wagonjwa tu. Hata wale ambao hawaonyeshi dalili.

WHO wametoa report juzi juzi kuwa 35% hawaonyeshi dalili japokuwa mdudu anakuwa ameshaingia ndani. Na wanatembea nae.
Hivi mnashadadia kupima, hebu nipeni faida ya kupima corona kwanza zaidi ya kujua status ambapo kama ni -ve haitoi quarantee ya kubakia -ve! Na ikiwa +ve haitoi quarantee kuwa utaugua! Nipeni faida za kupima watu wote hata wasio na dalili nchi nzima zaidi ya kuleta taflani! Angalau tungefanya kampeni ya kupima kifua kikuu na malaria nchi nzima maana tukibaini walioambukizwa tutawatibu kwani matibabu yapo! Nielezeni kuhusu corona!
 
Kupima watu wote inawezekana kabisa.

Ni suala la kuwa na rasilimali za kutosha na dedicated staff yenye weledi na ari ya kuchapa kazi.

America wanaendelea kupima daily.. ni progressive. Sio kitu cha kupima sehem moja halafu unaacha.

Wanapima na wataendelea japo kuwa itachukua muda mrefu.
Na hawapimi wagonjwa tu. Hata wale ambao hawaonyeshi dalili.

WHO wametoa report juzi juzi kuwa 35% hawaonyeshi dalili japokuwa mdudu anakuwa ameshaingia ndani. Na wanatembea nae.
Marekani wamepima lakini mpaka sasa hawajafikia hata robo ya raia wake, sasa kwenu hapa itawezekani vipi?
 
Uwezo gani wewe jikinge watu wanakufa wewe.Angalia afya yako.Uwezo wa kutokupima watu?uwezo gani waliambia watu wafanye kazi unafanya kazi gani sasa na hayo mazao unamwuzia nano wakati utaki kufuata maelekezo ya kanuni za afya.

Yaani watalii mtawasikia Kenya nyie .Juzi WHO wameandika Tanzania ni kati ya nchi hatari za kutembelea .Mnachekeana tu.Ukiumwa au kuuguliwa ndio utaijua Tz na system iliyopo ya afya.
Mkuu umemaliza ,laa kuambiwa changanya na la kwako

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Hivi mnashadadia kupima, hebu nipeni faida ya kupima corona kwanza zaidi ya kujua status ambapo kama ni -ve haitoi quarantee ya kubakia -ve! Na ikiwa +ve haitoi quarantee kuwa utaugua! Nipeni faida za kupima watu wote hata wasio na dalili nchi nzima zaidi ya kuleta taflani! Angalau tungefanya kampeni ya kupima kifua kikuu na malaria nchi nzima maana tukibaini walioambukizwa tutawatibu kwani matibabu yapo! Nielezeni kuhusu corona!
Aisee at this level faida ya kupima ipo na ni kubwa sana.
Kupima na ku survive ugonjwa ni vitu viwili tofauti.
Statisticaly majibu yanayopatikana kwenye vipimo yanatoa picha halisi ya behaviour ya virus mwenyewe, kundi gani liko katika hatari zaid, kundi lipi lime develop anti-bodies, pia virus strains maana wana mutate every day.
Hizi taarifa husaidia serikal wajue wapi pa kupeleka nguvu.
Lakin pia husaidia wataalam kujua watatumia mbinu gani kukimaliza kirusi kwa chanjo.. na waitengenezaje.
 
Who is WHO? WHO imeshapoteza mvuto, kote duniani haiaminiwi! Itabidi lianzishwe shirika mbadala wa WHO!
Tz ipo vizuri na watalii wataendelea kuja kwa kasi! Mungu naombi uzidi ibariki Tz!
Unajua Bila WHO WATOTO WETU WATAKUFA HASA WA MASKINI WATAKUFA KAMA KUKU WENYE KIDERI UNAJUA BEI YA HIZI DAWA ZA CHANJO ZA WATOTO? SINDANO MOJA NI LAKI NNE, HATA WEWE UNAYEONGEA HUU UHARO ULIFADHILIWA NA WHO. ANGALIA KWENYE BEGA LAKO KAMA HUNA CHAPA YA WHO ITADUMU MAISHANI MWAKO HIYO ALAMA,

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Hapo sina tatizo kuhusu ugonjwa upo, shida yangu ni kwamba watu walitaka tufanye kama ulaya huku sisi ni africca,

Shida nipale watu walimbeza mr president kisha aliyoamua katika taifa ndo mataifa yanaaza kurudi huko huku wampata hasara,
Mataifa ya africa tungepiga nyungu wote na kunywa mavitunguu swaum tungepunguza sana tatizo.
As if nyugu inaondoa corona na kula vitunguu swaumu. Umefeli mbaya. For the record ni kwamba hizo mbinu zinapunguza dalili tu.. lakin mdudu mwenyewe hafi.
 
Back
Top Bottom