- Thread starter
- #21
Sizungumzii MAFISADI,ila nilisema wale ambao walimuuzi PERSONALLY/YEYE MWENYEWE na familia yake na yeye kama Magufuli na si kama rais na AKAUMIA!SASA mkisema asamehe mahakama ya mafisadi si ndo basi tena
Ni kawaida kwa binadamu kukasirika na ana HAKI ya kukasirika. Ila Akumbukapo MSALABA wa msamaha wa Yesu Kristo aliyewaombea ADUI zake
"Eee Mungu USIWAHESABIE dhambi hii maana HAWALIJUI lile WALITENDALO."
Hiyo ndo msingi wa UKRISTO ukiondoa KUSAMEHE inabaki DINI peke yake. Na mtu wa DINI HANA MSAMAHA
.Lakini yule aliyezaliwa mara ya PILI/Saved by Grace anajua MATAKWA ya Mungu ni NINI!