Barbarosa
JF-Expert Member
- Apr 16, 2015
- 22,584
- 27,786
Nchi ya ya Botswana na Namibia waliweza kuwa na 50/50 shares Katika migodi ya nchi zao kwanini Tanzania tushindwe??
Ni kuamua tu kukaa meza ya majadiliano na wawekezaji na kufikia makubaliano ya kila mmoja anufaike na inawezekana kabisa.
Hapa hatutaki tena watu wa kujifungia ndani ya mahoteli makubwa na kujificha na mikataba.
Wakina Tundu Lissu,Prof Issa Shivji,Reginald Mengi,Prof Kabudi,Ester Matiko,Mzee Mpinga na wengine wengi tu kwa kuanzia ni muhimu ktk timu ya majidiliano
Tunaweza kufanikiwa kabisa kuwa shares 50/50 kama nchi zingine na tukanufaika na madini.
Kama hizo attachment 2 chini zinavyoonyesha
Hata hao wanapigwa tu na Wazungu, sema unaona Botwasna na Namibia wako mbali kiuchumi kwa sababu wako wachache, nchi zote mbili zina wakazi chini ya milioni 2, hata sisi tungekuwa tuko watu milioni 1.5 pia tungekuwa tuko mbali, lkn Botswana wanapigwa sana kwenye Almasi fikiria Botswana ni nchi inayoongoza kwa kutoa Almasi Duniani kwa hali ya kawaida ilipaswa iwe tajiri kama Uswisi lkn bado ni poor developing country, ukiangalia Rasilimali zinazatolewa Namibia ukilinganisha na hali yao ya maisha haziendani kabisa, Namibia ni moja kati ya nchi zinazoongoza kwa uzalishaji wa Almasi na uraniun Duniani lkn bado ni masikini tu, wametupita ndiyo lkn walipaswa wasiwe third world, hivyo kwangu hakuna cha kuiga hapo!