Rais Magufuli anaweza kufanya kama Botswana na Namibia...Inawezekana ni jambo la kuamua tu!!

..kama una info zaidi tuwekee hapa ili tuweze kuona mafundisho yoyote tunaweza kuyapata toka huko.

..kununua shares za barrick is one of the options. Sasa wakati mwingine ni vigumu serikali hii kuwekeza kibiashara kwasababu matatizo nchi hii yako mengi mno na yote ni ya dharura.
... Saudia wana kampuni yao ya madini -mwanzoni ikijishughulisha zaidi na dhahabu- ambayo ilianzishwa mwaka 1997, inaitwa Ma'aden. Mwaka 2008 imeandikisha 50% ya hisa zake kwenye soko lao la hisa.

... Mineral Investment Law yao imetilia maanani uendelezaji wa miundombinu ya usafirishaji, kama reli, barabara, bandari, n.k., ili kuwezesha uvunaji na uuzaji wa madini.

... Ni kweli yako mengi, lakini lazima tuchague machache ya kuanza nayo, mengine yatafuata.
 
Kupitia makinikia nao wengine walikuwa wanapata faida indirect kupitia makinikia lakini wako sekta zingine kumbe na huko nako wana kashfa kibao.

Ukizoe vya kunyonga vya kuchinja huviwezi


Sasa issue iko TFF.....
 
Kwa kupitishia sheria hizo za madini kwa hati ya dharura tutaweza kufikia kama Botswana au Namibia??
 
Hivi ile ishu ya wanasiasa wa Tanzania wenye fedha nyingi sana Uswizi imeshia wapi? Huko ndiko share yetu ya maliasili ilipo. Masikini Barrick! Walishalipa huko na sasa wanatakiwa walipe tena huku!

Kama usemavyo ni sheria tu na wala sio majadiliano.

The spirit is willing but the body is weak.
Majadiliano ni muhimu sheria ni muhimu zaidi
 
Back
Top Bottom