Mimi mbona nilimpa kura lakini sikumbuki kama nilshawahi kukutuma uniongelee?
Wewe tu.Mimi mbona nilimpa kura lakini sikumbuki kama nilshawahi kukutuma uniongelee?
Sent using Jamii Forums mobile app
Utawajua tu kwa maneno yao!Mafisadi,wezi wa mali za uma,wauza ngada,wakwepa kodi,wazembe,CDM na kwa njia moja au nyingine waliofaidika na fedha za mafisadi,wezi wa mali za uma,wauza ngada na wakwepa kodi.Hamtunyimi usingizi,aluta continua.Huu nao ni uzi????????
ha ha ha ha ha
Watu wanaokaa kwa mashemeji zao utawajua tutu.. Haya ww endelea kula ugali wa kengele kwa ba shemejiUtendaji wake makini. Hacheki cheki ovyo, hafanyi mchezo na mafisadi, anamaanisha anachokiongea/anaenenda katika maneno yake. Ni rais ambaye Tanzania ilipaswa kumpata miaka kadhaa iliyopita na haipaswi kumpoteza kizembe. Shikamoo Magufuli. Shikamooni watanzania mliomchagua Magufuli. Wafinye wezi wote wafinye mafisadi. Wafinye wahujumu uchumi
CrapUtawajua tu kwa maneno yao!Mafisadi,wezi wa mali za uma,wauza ngada,wakwepa kodi,wazembe,CDM na kwa njia moja au nyingine waliofaidika na fedha za mafisadi,wezi wa mali za uma,wauza ngada na wakwepa kodi.Hamtunyimi usingizi,aluta continua.
Ukweli unauita crap,ha ha ha ha ha ha...........Crap
Anakukonga mwenyewe!General statement ya nn?Ukweli unauita crap,ha ha ha ha ha ha...........
.
Mbona chenge anadunda mtaaniUtendaji wake makini. Hacheki cheki ovyo, hafanyi mchezo na mafisadi, anamaanisha anachokiongea/anaenenda katika maneno yake. Ni rais ambaye Tanzania ilipaswa kumpata miaka kadhaa iliyopita na haipaswi kumpoteza kizembe. Shikamoo Magufuli. Shikamooni watanzania mliomchagua Magufuli. Wafinye wezi wote wafinye mafisadi. Wafinye wahujumu uchumi