Rais Magufuli anatamani Tanzania ya neema kama libya ya hayati Gadafi

Tunkamanin

JF-Expert Member
Feb 27, 2015
951
865
Amesikaka mara kadhaa raisi wetu katika baadhi ya Hotuba zake, akielezea neema walizowahi kuonja raia wa Libya kabla ya muamar Gadafi kuuwawa, kwa ile ongea yake ni dhahir kabisa anatamani. Matibabu bure, Umeme bure, matibabu bure, mishahara kwa wazee, ruzuku kwa anaeoa na mengineyo mengi.... Shida iko sehemu moja tu.. ALIFIKAJE ? na sisi je TUNAFIKAJE,? JPM nchi tumekukabidhi, tunaishi kwa matumaini......4yrs to go, .....Still counting
akaya_Kikwete_and_Muammar_al-Gaddafi_12th_AU_Summit_090202-N-0506A-678.jpg


JK na Gadafi, tutawakumbuka sana.....mmethubutu.
 
Amesikaka mara kadhaa raisi wetu katika baadhi ya Hotuba zake, akielezea neema walizowahi kuonja raia wa Libya kabla ya muamar Gadafi kuuwawa, kwa ile ongea yake ni dhahir kabisa anatamani. Matibabu bure, Umeme bure, matibabu bure, mishahara kwa wazee, ruzuku kwa anaeoa na mengineyo mengi.... Shida iko sehemu moja tu.. ALIFIKAJE ? na sisi je TUNAFIKAJE,? JPM nchi tumekukabidhi, tunaishi kwa matumaini......4yrs to go, .....Still counting
akaya_Kikwete_and_Muammar_al-Gaddafi_12th_AU_Summit_090202-N-0506A-678.jpg


JK na Gadafi, tutawakumbuka sana.....mmethubutu.
Hivi ni watanzania ndio tunaotamani kuishi maisha kama walioishi raia wa Libya chini ya uongozi Gadafi, au Magufuli ndiye anatamani tuishi kama raia wa Libya walioishi chini ya uongozi wa Gadafi? Mimi naona magufuli anatamani kinyume na ulivyoandika! kila kukicha anawaza kuongeza kodi kwa watu wake, anatamani hata kuwanyanganya mishshara watumishi wa umma, kuwanyima mikopo wanafunzi wa elimu wa juu, n.k; au hivyo ndivyo Gadafi ailivyoanza ktk utawala wake?
 
Wananchi wake hawakumtetea sisi tungewezaje?
Walibya hawakumtetea Gaddaf kwa sababu pamoja na uzuri wake alivunja katiba ya nchi na kutaka kutawala yeye peke yake.Wapinzani wakihoji waliishia kuuawa,kuna wakati makaburi ya h alaiki yaligundulika ambayo wapinzani waliuawa na kuzikwa kaburi moja.Saddam Hussein pia alifanya mauaji mengi dhidi ya wapinzani na kuwazika kwenye makaburi ya h alaiki.Nkurunziza wa Burundi nae baada ya kubadili katiba ya nchi yake tayari ameshazalisha mzozo mkubwa na wapinzani.Na tayari kuna taarifa zimefichua makaburi ya h alaiki dhidi ya wapinzani.Kwa ujumla maraisi wanaong'ang'ania madaraka ndio wanaosababisha vurugu kwenye nchi zao.Libya sasa hivi haitawaliki,haitawaliki kwa sababu ya uroho wa madaraka aliokuwa nayo Gaddafi.Alikuwa na uwezo mzuri wa kutawala lakini pia wapo Walibya wengine ambao wana uwezo kama yeye au pengine na kuzidi lakini hawakupewa fursa hiyo. Kwa hiyo kifo cha Gaddaf alijitakia mwenyewe,aliua wapinzani na kuwazika kaburi moja na hao ndio waliommaliza kwa kusaidiwa na nguvu za nje.
 
Tusubiri Push up zingine 2020.
Kama madai ya wafanyakazi na kupandishwa vyeo imeshindikana na vitu hivyo ni haki yao na hakuna nyongeza ya mshahara ndio unawazia maisha bora namna hiyo? After all shetani haishi hivyo, hayo ni maisha ya malaika
 
  • Thanks
Reactions: ydn
Walibya hawakumtetea Gaddaf kwa sababu pamoja na uzuri wake alivunja katiba ya nchi na kutaka kutawala yeye peke yake.Wapinzani wakihoji waliishia kuuawa,kuna wakati makaburi ya h alaiki yaligundulika ambayo wapinzani waliuawa na kuzikwa kaburi moja.Saddam Hussein pia alifanya mauaji mengi dhidi ya wapinzani na kuwazika kwenye makaburi ya h alaiki.Nkurunziza wa Burundi nae baada ya kubadili katiba ya nchi yake tayari ameshazalisha mzozo mkubwa na wapinzani.Na tayari kuna taarifa zimefichua makaburi ya h alaiki dhidi ya wapinzani.Kwa ujumla maraisi wanaong'ang'ania madaraka ndio wanaosababisha vurugu kwenye nchi zao.Libya sasa hivi haitawaliki,haitawaliki kwa sababu ya uroho wa madaraka aliokuwa nayo Gaddafi.Alikuwa na uwezo mzuri wa kutawala lakini pia wapo Walibya wengine ambao wana uwezo kama yeye au pengine na kuzidi lakini hawakupewa fursa hiyo. Kwa hiyo kifo cha Gaddaf alijitakia mwenyewe,aliua wapinzani na kuwazika kaburi moja na hao ndio waliommaliza kwa kusaidiwa na nguvu za nje.
Mbona wanashindwa kujitawala Mkuu wakati Gadafi keshakufa? Au alikufa na wenye uwezo kuzidi yeye?
 
Mbona wanashindwa kujitawala Mkuu wakati Gadafi keshakufa? Au alikufa na wenye uwezo kuzidi yeye?
Hawawezi kujitawala kwa sababu wafuasi wa Gaddaf wapo na wapinzani wapo.Wapinzani wanataka kutawala na kulipiza kisasi na wafuasi wa Gaddaf nao wanataka kuendelea kushika dola.Hapo sasa ndio chimbuko la mgororo,inakuwa kazi ngumu hakuna wa kukubali.
 
Gesi ya Mtwara ikitumika kwa maslahi ya taifa itawezekana, lakini kama ni hii ya kuuwapa wawekezaji kwa taifa kupata asilimia sabini, basi tusahau.
 
ILI ATUFIKISHE HAPO INABIDI AFANYE YAFUATAYO:-
1.AFUTE VYAMA VYOTE VYA SIASA NA MALI ZA VYAMA KURUDISHWA SERIKALINI .
2.AVUNJE BUNGE
3.MIKATABA YA MADINI IPITIWE UPYA.
4.PESA ZILIZO LIMBIKIZWA A/C ZA NJE ZIRUDISHWE NCHINI.
5.LAZIMA AFUKUE MAKABURI.RICHMOND.EPA.ESCROW.NBC NA MENGINE MAAMA HUMO NDIMO KULIMO NA MAFISADI PAPA
N.B KWA KUTEKELEZA 1,2, ATAIJENGA NA KUNYOOSHA NCHI BILA KELELE ZA WANASIASA
Amesikaka mara kadhaa raisi wetu katika baadhi ya Hotuba zake, akielezea neema walizowahi kuonja raia wa Libya kabla ya muamar Gadafi kuuwawa, kwa ile ongea yake ni dhahir kabisa anatamani. Matibabu bure, Umeme bure, matibabu bure, mishahara kwa wazee, ruzuku kwa anaeoa na mengineyo mengi.... Shida iko sehemu moja tu.. ALIFIKAJE ? na sisi je TUNAFIKAJE,? JPM nchi tumekukabidhi, tunaishi kwa matumaini......4yrs to go, .....Still counting
akaya_Kikwete_and_Muammar_al-Gaddafi_12th_AU_Summit_090202-N-0506A-678.jpg


JK na Gadafi, tutawakumbuka sana.....mmethubutu.
K
 
Walibya hawakumtetea Gaddaf kwa sababu pamoja na uzuri wake alivunja katiba ya nchi na kutaka kutawala yeye peke yake.Wapinzani wakihoji waliishia kuuawa,kuna wakati makaburi ya h alaiki yaligundulika ambayo wapinzani waliuawa na kuzikwa kaburi moja.Saddam Hussein pia alifanya mauaji mengi dhidi ya wapinzani na kuwazika kwenye makaburi ya h alaiki.Nkurunziza wa Burundi nae baada ya kubadili katiba ya nchi yake tayari ameshazalisha mzozo mkubwa na wapinzani.Na tayari kuna taarifa zimefichua makaburi ya h alaiki dhidi ya wapinzani.Kwa ujumla maraisi wanaong'ang'ania madaraka ndio wanaosababisha vurugu kwenye nchi zao.Libya sasa hivi haitawaliki,haitawaliki kwa sababu ya uroho wa madaraka aliokuwa nayo Gaddafi.Alikuwa na uwezo mzuri wa kutawala lakini pia wapo Walibya wengine ambao wana uwezo kama yeye au pengine na kuzidi lakini hawakupewa fursa hiyo. Kwa hiyo kifo cha Gaddaf alijitakia mwenyewe,aliua wapinzani na kuwazika kaburi moja na hao ndio waliommaliza kwa kusaidiwa na nguvu za nje.
Ukumbuke na mema yake.
 
ILI ATUFIKISHE HAPO INABIDI AFANYE YAFUATAYO:-
1.AFUTE VYAMA VYOTE VYA SIASA NA MALI ZA VYAMA KURUDISHWA SERIKALINI .
2.AVUNJE BUNGE
3.MIKATABA YA MADINI IPITIWE UPYA.
4.PESA ZILIZO LIMBIKIZWA A/C ZA NJE ZIRUDISHWE NCHINI.
5.LAZIMA AFUKUE MAKABURI.RICHMOND.EPA.ESCROW.NBC NA MENGINE MAAMA HUMO NDIMO KULIMO NA MAFISADI PAPA
N.B KWA KUTEKELEZA 1,2, ATAIJENGA NA KUNYOOSHA NCHI BILA KELELE ZA WANASIASA

K
Na demokrasia yao ya kizushi zote ziondoke. Ktk katiba Bill of rights iondolewe, kifupi Azimio la Arusha lirudi kama vilevile lilivyokuwa pasi na badiliko lolote. Na haya ktk ukweli wa ndani kabisa ndicho wanachokita Watanzania. Wtz wanataka uchumi ambao wote wataguswa nao ktk usawa. Huduma bora bure, maisha sawa bila matabaka makubwa sana, haya yote ni ndoto ktk mfumo wa kibepari... Kamwe haiwezekani, ktk mfumo huu ni lazima matabaka yawepo ndo uchumi huu uende,wafanyakazi wa chini viwandani lazma wawepo na wawe maintained ktk daraja hilohilo daima. Tunautamani kweli uchumi wa Libya ? Uchumi, siasa na mambo ya kijamii lazima yajengwe ktk kubebana ili kila kitu kiende sawa. Gadaff asingefanya alichowafanyia walibya kama angeruhusu vyama vingi.
 
Mbona wanashindwa kujitawala Mkuu wakati Gadafi keshakufa? Au alikufa na wenye uwezo kuzidi yeye?
Shida yako ni uwezo mdogo wa kufikiri.

Libya leo inashindwa kujitawala sababu ya matabaka yaliyoachwa na Gaddafi. Kiongozi, hata atoke mbinguni, maadam ni mwanadamu basi ipo siku atafikia ukomo wake. Libya haikuwa na mfumo wa kiutawala wenye kutoa mwanya kwa wengine kuushiriki. One man show huishia pale dereva anapoishia.

Vita unayoiona Libya leo ni matokeo ya makundi yaliyosahaulika ambayo nayo sasa yanaamini ndio wakati wao. Hayakutaraji kupata fursa ya kuwa huru, na ss yako huru bila mipango wala mikakati...vurugu mechi.

Hata hivyo, ipo siku Libya itatulia.
 
Shida yako ni uwezo mdogo wa kufikiri.

Libya leo inashindwa kujitawala sababu ya matabaka yaliyoachwa na Gaddafi. Kiongozi, hata atoke mbinguni, maadam ni mwanadamu basi ipo siku atafikia ukomo wake. Libya haikuwa na mfumo wa kiutawala wenye kutoa mwanya kwa wengine kuushiriki. One man show huishia pale dereva anapoishia.

Vita unayoiona Libya leo ni matokeo ya makundi yaliyosahaulika ambayo nayo sasa yanaamini ndio wakati wao. Hayakutaraji kupata fursa ya kuwa huru, na ss yako huru bila mipango wala mikakati...vurugu mechi.

Hata hivyo, ipo siku Libya itatulia.
Dua ya leo inaendelea kuwa mahala pabaya pa kuishi mwanaadamu kutokana na wingi wa watu wenye mawazo kama yako, mawazo ambayo ni static, yanaangalia upande mmoja, yeyote anaewaza kinyume nawe ana uwezo mdogo wa kufikiri. One man leadership with full of free social services and well advanced living standards ni sawa na utawala wa kubadilishana kila kukicha huku raia wakifa kwa njaa, kodi za ajabu ajabu.......think twice, acha chuki binafsi.
 
Ukumbuke na mema yake.
Nimeshasema tayari kuwa Gaddaf alikuwa kiongozi mzuri kosa lake ni kung'ang'ania madaraka na kuua wapinzani ambao wengine walifukiwa kaburi moja.Hata Nkurunziza alikuwa kiongozi mzuri sana kosa lake ni lile lile la kung'ang'ania madaraka na kuwashikisha adabu wapinzani ambao nao ni haki yao kikatiba kushiriki uchaguzi na kushika dola.
 
2 Reactions
Reply
Back
Top Bottom