vantz
JF-Expert Member
- Apr 22, 2016
- 1,107
- 567
Wewe nawe ulikuwa wapi?Mulishindwaje kumtetea asiuliwe?
Wewe nawe ulikuwa wapi?Mulishindwaje kumtetea asiuliwe?
Mimi hujanisikia kumsifu!Wewe nawe ulikuwa wapi?
Unajua kile ulichoambiwa tu, husumbui kichwa chako kutafuta yaliyojificha. Zile nyumba za makuti na madebe kule Benghazi wale sio Walibya wale?Dua ya leo inaendelea kuwa mahala pabaya pa kuishi mwanaadamu kutokana na wingi wa watu wenye mawazo kama yako, mawazo ambayo ni static, yanaangalia upande mmoja, yeyote anaewaza kinyume nawe ana uwezo mdogo wa kufikiri. One man leadership with full of free social services and well advanced living standards ni sawa na utawala wa kubadilishana kila kukicha huku raia wakifa kwa njaa, kodi za ajabu ajabu.......think twice, acha chuki binafsi.
katika maswali ya kijinga hili ndio funga mwakaMulishindwaje kumtetea asiuliwe?