yote ni kazi bure ikiwa hakuna kinachodumu milele chini ya mbingu.Kwa mwenendo wa kisiasa unaoendelea nchini hivi sasa ninaamini kuwa Mkulu anajiandalia u-Life President!
yote ni kazi bure ikiwa hakuna kinachodumu milele chini ya mbingu.Kwa mwenendo wa kisiasa unaoendelea nchini hivi sasa ninaamini kuwa Mkulu anajiandalia u-Life President!
Tuko milioni 58+ kwann kuvunja katiba as if tuna nakisi yawatanzania wanaoweza kuongoza who is magufuli Kati ya watu milioni 60 ?Kwani katiba inapatikanaje? Kama hilo likionenekana linafaa na likapitishwa katika katiba kuna shida gani? Kama huo mpango ukipitia utaratibu na walio wengi (wananchi) wakakubali liwemo katika katiba itakuwa ndo katiba yenyewe wala si uvunjaji wa katiba. Sina upande wowote kwenye suala hili lakini likifuata utaratibu na likapita hakuna shida hata hao JWTZ watailinda katiba hiyo hiyo iliyoongeza muda wa urais kwa sababu ndiyo katiba itayokuwepo.
Ikumbukwe kuwa zilikuweko katiba nyingine kabla ya hii ya 1977 zilifanyiwa mchakato na zikabadilishwa kwa utaratibu uliokubalika; hivyo sio tatizo kubadili katiba hata leo isipokuwa tu utaratibu sahihi wa hayo mabadiliko ndo kitu cha msingi na cha lazima kufanyika.
Mchakato wa katiba ni kujumuisha mawazo ya wengi inagwa ya wachache pia yanatakiwa yasikike na kuheshimiwa kama tulivyozoea kikawaida (wengi wape). Ikitokea mawzo ya kuongeza muda yakawa ya wengi yatapita tu hata kama hayaendani na unachotaka wewe na hilo halina shida.
Ndiyo tatizo la watu wanaopenda "kujimwambafai"Tuko milioni 58+ kwann kuvunja katiba as if tuna nakisi yawatanzania wanaoweza kuongoza who is magufuli Kati ya watu milioni 60 ?
Hao "Praise and worship team for Magufuli" ndiyo watakauotuharibia nchi..........Moja ya sifa kuu ya Uzalendo feki ni ULAFI na ULEVI wa MADARAKA.
Mtukufu Rais dokta muweza wa yote na asieshindwa kwa lolote.
Ameshaonja na kanogewa utamu wa kuabudiwa na kusujudiwa na WAPUMBAVU wake MaCCM kama anavyo waita mwenyewe. Lazima atabadirisha katiba akafie madarakani.
Lowassa sio mchumia tumbo kama akina Pinda na wengineoNasimama na agizo la Lowassa: ‘kumi mheshimiwa Rais’
Maskini bwana , kijana usijifanye kichwa maji jifanye kelele humu ukaona upo mbinguni ,raia wwMnat
Mnatengeneza mazingira ya kihalifu makusudi ili watu wajivue kwenye dhambi zenu muda c mrefu wataamua kuelea kwenye bahari ya dhambi pamoja nanyi yetu macho.msije mkaomba po.
Wewe ni mnafiki tumeisha kujua na kuanzia January utorusiwa kuja LumumbaNchi ipo shwari Tuache kuzusha uongo
Ume-hit penye ukweli Mkuu TrillionMoja ya sifa kuu ya Uzalendo feki ni ULAFI na ULEVI wa MADARAKA.
Mtukufu Rais dokta muweza wa yote na asieshindwa kwa lolote.
Ameshaonja na kanogewa utamu wa kuabudiwa na kusujudiwa na WAPUMBAVU wake MaCCM kama anavyo waita mwenyewe. Lazima atabadirisha katiba akafie madarakani.