ChizzoDrama
JF-Expert Member
- Sep 29, 2019
- 1,317
- 1,229
Tunataka katiba Kama ya chadema ili atawale milele
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Boss, hauna habari hata na vituo hata koma ..!!!Nakuapia mbele ya Mungu na wote watakaosoma post hizi kelele za wanasiasa hazitazidi veto ya majenerali wa jwtz ndio maana huwezi kusikia jwtz wameongea chochote ila ukitaka kuthibitisha ninachosema hebu rais yoyote wa jmt aliechaguliwa kwa kura za wanachi hata za wizi Kama walivyofanya 2015 ajiongezee hata mwezi mmoja kinyume na katiba uone itakavyokuwa kila siku makanali hawatatulia vikosini maana vifaru na mizinga vitakuwa vinapashwa joto wanaume watakuwa wanaomba bili kubwa za mafuta ya dizeli na petroli mamaeee bandarini kila siku ving'ora vya Navy vitalia kuuliza oyaaa infatriii tuliamshe dudeeeee ha ha ha ha msiombee mwendawazimu yoyote aongeze muda wa utawala wa kiraia mtalikaribisha jeshi mitaani bila sababu !!! Mungu ibariki Africa /// uzuri wanasiasa wanajua kwamba mipaka ya ujinga wao kulishika jeshi sharubu unaishi wapi!!!!
Achana naye huyo kula kulala Tena kwa shemeji ndio maana Hana hicho la kuona mbele zaidi ya kwa shemeji!Uongo gani, wakati kila kitu kinajionyesha waziwazi tunakokwenda kama Taifa kunasikitisha?
Naomba Mungu akupe uhai. Magufuli atafanya chochote kile mradi abakie madarakani. Kwa unyama na ufisadi alioufanya hatokaa atoke ikulu. Msijidanganye.Nakuapia mbele ya Mungu na wote watakaosoma post hizi kelele za wanasiasa hazitazidi veto ya majenerali wa jwtz ndio maana huwezi kusikia jwtz wameongea chochote ila ukitaka kuthibitisha ninachosema hebu rais yoyote wa jmt aliechaguliwa kwa kura za wanachi hata za wizi Kama walivyofanya 2015 ajiongezee hata mwezi mmoja kinyume na katiba uone itakavyokuwa kila siku makanali hawatatulia vikosini maana vifaru na mizinga vitakuwa vinapashwa joto wanaume watakuwa wanaomba bili kubwa za mafuta ya dizeli na petroli mamaeee bandarini kila siku ving'ora vya Navy vitalia kuuliza oyaaa infatriii tuliamshe dudeeeee ha ha ha ha msiombee mwendawazimu yoyote aongeze muda wa utawala wa kiraia mtalikaribisha jeshi mitaani bila sababu !!! Mungu ibariki Africa /// uzuri wanasiasa wanajua kwamba mipaka ya ujinga wao kulishika jeshi sharubu unaishi wapi!!!!
Katika Mambo ambayo namtetea hawezi ku mess up nayo ni pamoja na hili mkuu.Naomba Mungu akupe uhai. Magufuli atafanya chochote kile mradi abakie madarakani. Kwa unyama na ufisadi alioufanya hatokaa atoke ikulu. Msijidanganye.
Tutakumbushana tu.
Lakini usisahau kuwa yeye pia ameumbwa na Mungu huyu huyu tunayemwamini na Mungu anahubirii "mpende jirani yako kama unavyojipenda wewe mwenyewe"Naomba Mungu akupe uhai. Magufuli atafanya chochote kile mradi abakie madarakani. Kwa unyama na ufisadi alioufanya hatokaa atoke ikulu. Msijidanganye.
Tutakumbushana tu.
Njaa haina Baunsa.Usidanganywe ndugu jwtz halina urafiki na wanasiasa unachokiona machoni sio kilichomo ndani
Mungu huwaacha watu wabaya waishi muda mrefu ili watubu.Lakini usisahau kuwa yeye pia ameumbwa na Mungu huyu huyu tunayemwamini na Mungu anahubirii "mpende jirani yako kama unavyojipenda wewe mwenyewe"
Hivi kwa chuki na visasi vya hali ya juu anavyovifanya huyu Jiwe kwa wapinzani wake, akilihusisha Jeshi "lake" la Polisi kuwabambikia kesi wahusika, unadhani huyu Mungu tunayemuamini atakaa kimya kweli??
Amini nakuambia hakuna chenye mwanzo kikakosa kuwa na mwisho