Civilian Coin
JF-Expert Member
- Dec 2, 2012
- 2,305
- 4,334
Rais Magufuli anatakiwa kutengua uteuzi wa Waziri Mpango na Waziri Kabudi kwa kuwateua kabla Waziri Mkuu hajapatikana, nakuteua wengine ili asifunguliwe kesi baada ya kustaafu.
Don Nalimison: Kutengua Uteuzi huo kutamjengea heshima Rais kwa kuiheshimu Katiba ya Nchi. Maana Katiba inamtaka Rais ashauriane na Waziri Mkuu juu ya Uteuzi wa mawaziri lakini Waziri Mkuu alikuwa bado hajapatikana pindi wanateuliwa na hivyo Rais ameikosea Nchi na Wananchi kwa kuvunja Katiba ya Nchi iliyotungwa na Wananchi. Ni heri uvunje Sheria maana zinatungwa na kundi dogo la wabunge lakini Katiba ni kundi kubwa la Wananchi.
RAIS akitengua Uteuzi huo na kuteua wengine kwa kushauriana na Waziri Mkuu kwa Sasa atakuwa ameheshimisha Katiba na Nchi.Na baada ya Miezi sita ANAWEZA kuwarudisha Tena kwa mjibu wa Sheria au atengue Uteuzi huo na kuwaapisha upya kwa kushauriana na Waziri Mkuu. Na hivyo ndivyo Sheria inavyotaka. Katiba lazima iheshimiwe Kama Rais atakaidi italazimu kufungua mashitaka na atakapo staafu akamatwe Mara moja.
DON NALIMISON
Kahama-Shinyanga.
Don Nalimison: Kutengua Uteuzi huo kutamjengea heshima Rais kwa kuiheshimu Katiba ya Nchi. Maana Katiba inamtaka Rais ashauriane na Waziri Mkuu juu ya Uteuzi wa mawaziri lakini Waziri Mkuu alikuwa bado hajapatikana pindi wanateuliwa na hivyo Rais ameikosea Nchi na Wananchi kwa kuvunja Katiba ya Nchi iliyotungwa na Wananchi. Ni heri uvunje Sheria maana zinatungwa na kundi dogo la wabunge lakini Katiba ni kundi kubwa la Wananchi.
RAIS akitengua Uteuzi huo na kuteua wengine kwa kushauriana na Waziri Mkuu kwa Sasa atakuwa ameheshimisha Katiba na Nchi.Na baada ya Miezi sita ANAWEZA kuwarudisha Tena kwa mjibu wa Sheria au atengue Uteuzi huo na kuwaapisha upya kwa kushauriana na Waziri Mkuu. Na hivyo ndivyo Sheria inavyotaka. Katiba lazima iheshimiwe Kama Rais atakaidi italazimu kufungua mashitaka na atakapo staafu akamatwe Mara moja.
DON NALIMISON
Kahama-Shinyanga.