CasparyTz
Member
- Sep 1, 2016
- 92
- 71
Not fair Kagera watu bado wanalala chini nyumba zimebomoka ; Mungu anawaona nyie mliochanguliwa na maskini
Uyo kateuliwa .
Not fair Kagera watu bado wanalala chini nyumba zimebomoka ; Mungu anawaona nyie mliochanguliwa na maskini
Heshima kwenu wakuu,
Najaribu kuwaza watanzania tunaanza na nini kama kipaumbele chetu? Nahisi kama Viongozi wanatusaliti na kutupaka mafuta kwa Mgongo wa Chupa. Kwenye TV naona wakiongea kwa hasira huku wamekunja sura lakini ukiangalia matendo yao tofauti.
Kwa matatizo ya Tabora au hata tuseme Ulambo amabayo hamna Vymba vya Madarasa, Zahanati, Maji, Barabara hazipitiki, Madawa, Madawati Nk, ndo watu wa kumjengea Mkuu wa Wilaya Nyumba kama hii? Kwa hali hii sitegemei mtu aishi kama mashetani wakati Wakubwa hawaoneshi Mfano.
Walipoapishwa nlisikia Wanaenda kuwatumikia Wananchi tena kuna kauli walisema eti Ukiona umekaa kwenye A/C halafu Shule zako watoto wanakaa chini Jitumbue kabla sijakutumbua.
Nikasikia Hakutakuwa na Matumizi ya Magari ya Garama, hapa ni kazi tu kuwatumikia wananchi...Haahaaaa...!!
View attachment 416106
Muonekano wa Nyumba ya Mkuu wa Wilaya ya Urambo mkoa wa Tabora, ambayo ipo kwenye hatua za mwisho za ujenzi.
Wakati huo huo ndani ya tabora hiyo hiyo, Kuna wazee wameitumikia Tabora Kila kukicha hawajui kesho watakula nini. Mimi kwa mawazo yangu nlikuwa najua kwamba Walala hoi au Masikini wa nchi hii ni hawa Wazee.
View attachment 416134 View attachment 416135
Sehemu ya Nyumba kwa ajili ya Makazi ya Wazee ambazo hazitumiki kutokana na kuwa katika hali mbaya katika Makazi ya kulea Wazee ya Kolandoto Mkoani Shinyanga.
Wanabugia wali mbichi maharagwe tsht kofia matatizo yake ni ya kilutisha..Huko sindio CCM inajizolea KURA!
Hivyo vituo vya wazee ni janga lingine.1. Hiyo ni nyumba stahiki kwa hadhi ya Mkuu wa Wilaya. Wakati ule Ikulu inajengwa, ikulu ndilo likikokuwa jengo zuri kuliko jengo jingine lolote. Hivyo nyumba ya rais wa Urambo pia inastahili kuwa ndio nyumba nzuri kuliko nyumba zote Urambo nzima.
2. Sii kazi ya serikali kuwajengea nyumba raia wake. Kazi ya serikali ni kujenga miundombinu ya umma na kuweka mazingira wezeshi wananchi kujiletea maendeleo ikiwemo kujenga nyumba bora.
3.Wazee wasijiweza wana makao yao hivyo hao wazee kama hawajiwezi na hawana jamii hifadhi ya maisha yao, wakikabidhi ustawi wa jamii, watahifadhiwa, kula bure, na kulala bure.
Pasco
Na gadafi piaNi wewe pasco au mwingine? Karume Serikali zinazo wajali wananchi zinajenga nyumba kwa ajili ya raia wasio na uwezo.mfano karume alijenga nyumba nyingi na kuwapa raia.Na china hivyo hivyo
Wa shule ipi mkuuMfano mzuri wa WANAFIKI ni huyu MWALIMU MKUU wetu...
Na sasa huyu wenzie wanasukumana na nyoka yeye jumba lote hilo...hivi si walisema wote tunatakiwa tuwe levo za mashetani?!?!?Karume alijenga nyumba nyingi lakini yeye alikuwa anaishi kwenye hii nyumba;
mmoja wao huyu hapa kati ya wale 450,000Thread zingine za kimbea mbea kwa hiyo sababu ni mteule wa Rais akaishi kwa mateso? Mbona hiyo nyumba ni ya kawaida sana wala si ya kifahari
Umbea ndo kazi yakoommoja wao huyu hapa kati ya wale 450,000