Nyani Ngabu
Platinum Member
- May 15, 2006
- 92,211
- 113,520
Naona Rais Magufuli anapenda sana kuvaa kijeshi.
Sijui huwa anatamani angekuwa mwanajeshi au vipi..?
Nyie mnaonaje....ni sawa Rais akitupia hayo manguo ya kijeshi au si sawa?
Binafsi hainisumbui kuona rais kavaa hayo manguo.
===
IKULU, DAR: Amiri Jeshi Mkuu na Rais wa Tanzania, John Magufuli akisalimiana na baadhi ya viongozi wa kikosi cha Wanajeshi 238 wanaoendelea na zoezi la usafi wa fukwe jijini Dar
Usafi huo ambao ni sehemu ya kuimarisha usafi wa jiji kuelekea Mkutano wa 39 wa Wakuu wa Nchi za SADC unasimamiwa na Viongozi wa Jeshi la Wananchi (JWTZ) na Jeshi la Kujenga Taifa (JKT)
Rais Magufuli amesalimiana na Wanajeshi hao akiwa nje ya majengo ya Ikulu ya Dar es Salaam
Sijui huwa anatamani angekuwa mwanajeshi au vipi..?
Nyie mnaonaje....ni sawa Rais akitupia hayo manguo ya kijeshi au si sawa?
Binafsi hainisumbui kuona rais kavaa hayo manguo.
===
IKULU, DAR: Amiri Jeshi Mkuu na Rais wa Tanzania, John Magufuli akisalimiana na baadhi ya viongozi wa kikosi cha Wanajeshi 238 wanaoendelea na zoezi la usafi wa fukwe jijini Dar
Usafi huo ambao ni sehemu ya kuimarisha usafi wa jiji kuelekea Mkutano wa 39 wa Wakuu wa Nchi za SADC unasimamiwa na Viongozi wa Jeshi la Wananchi (JWTZ) na Jeshi la Kujenga Taifa (JKT)
Rais Magufuli amesalimiana na Wanajeshi hao akiwa nje ya majengo ya Ikulu ya Dar es Salaam