ENANTIOMER
JF-Expert Member
- Sep 22, 2014
- 1,419
- 804
Hilo swali tunatakiwa kuliweka la kwanza ktk maswali ya kumuulliza mheshimiwa Sugu. Swali la pili liwe la kumtaka mheshiwa Sugu afafanue kuhusu yale marinda yaliyoharibiwa vabaya.
Muhimbili !! ?Afanye ziara ya kushitukiza muhimbili halafu azungumze
Kitengo ya sober house au rehab centreMuhimbili !! ?
Kivipi? Kwani si alitumbuliwa? Angesema nini tena?Hata issue ya Kitwanga alipiga kimya.
Wapo wengi sana wa aina yake.RC Makonda ametumia msdaraka yake vibsya!
Hueezi kumsingizia mtu anauza au kutumia Madawa ya kulevya simply kwa vile umemtongoza akakutaa! Kiongozi kama huyu hatufai!!!
Samahani mkuu nikusahihishe kidogo; Mkuu wa Mkoa wa Dsm anaitwa Daud Albert Bashite na sio Paul Makonda!RC Makonda alikoleza vita ya Mihadarati kwa kutangaza majina ya watuhumiwa wa Dawa za kulevya hadharani bila ya ushahidi na hatimaye wengine kuachiwa huru baada ya kuthibitika kuwa walionewa kama ilivyotokea kwa Askofu Gwajima!!
Juzi mama Wema Sepetu na bintiye wamekihama Chama cha CCM baada ya kushudha tuhuma nzito! Nina hakika Rais Magufuli ameiona Video clip iliyonaswa ikionyesha mazumgumzo ys simu kati ya Steve Nyererena Mama Wema Sepetu kuhsu kukamatwa kwa Wema Sepetu kwamba ilikuwa ni visasi kati ya Makonda na Wema! Kwamba Makonda alikuwa akimtongoza Wema lakini akamkatolea nje. Hii ni kwa mjibu wa maneno ya mama Wema Sepetu!!
Tuhuma hizi ni nzito kumhsu RC Makonda na kwa kweli ilitakiwa uchunguzi wa haraka na wa kina ufanyike huku Makonda akiwa nje ya ofisi na ikibainika basi atumbuliwa haraka!
Hatuwezi kuwa na kiongozi anayeingiza mambo binafsi kuwakomoa Watanzania! Hili halikubaliki hata kidogo! Baba wa Taifa angelikuwepo leo asingevumilia ujinga huu tayari angelikuwa kesha mkoromea siku nyingi!!!!!