Barbarosa
JF-Expert Member
- Apr 16, 2015
- 22,584
- 27,782
Nyie mnaotea otea na kukisia tu, lakini yeye kama Raisi wa nchi na mkuu wa Ulinzi na Usalama vile vile kama Mkuu wa CCM anajua kinachoendelea chini chini kabla hata nyie mnaomtegemea Mangi Kimambi kuwaambia.
Hivyo mnaweza kubeza, kukebehi na kumuita majina lakini ataibuka mshindi na nyie hamtapata kitu kwani ana taarifa nyingi sana kuhusu kinachoendelea chini chini, ...
Hivyo mnaweza kubeza, kukebehi na kumuita majina lakini ataibuka mshindi na nyie hamtapata kitu kwani ana taarifa nyingi sana kuhusu kinachoendelea chini chini, ...