Rais Magufuli anaingizwa 'mkenge' na washauri?

Uelewa wa watu wengi wa Transformation ni mdogo ikiwemo mleta mada na wanao muunga mkono
1. Hakuna kodi isiyoeleweka zaidi ya kauli au dhana ya mleta mada, kwani ameshindwa kueleza ni kodi ipi isiyo eleweka ili aweze kueleweshwa.
2. Account kuwa frozen sio jambo geni na ndio maana Maneno hayo yapo hayakuanza wakati wa Nyerere au wakati wa Awamu hii ya Tano.
Na kama kuna Nchi ina freeze account ni USA ambayo imezui fedha nyingi sana Iran na za Venezuela, just to a mentioned a few e.g.
Na kuna sheria za kimataifa ktk usafirishaji wa pesa toka nchi moja kwenda nyingine, na hata ubadilishaji wa pesa wakati mwingine hufanyika ili kudhibiti mambo kama haya ya ukwepaji kodi na uhifadhi wa fedha zilizopatikana kwa njia zisizo faa kama matendo, madawa ya kuleta n.k.
3. Hakuna kodi ya kuku wawili wanaofugwa nyumbani for matumizi ya nyumbani, lakini kuna kodi zimewekwa kwa kufanya biashara mfano unauza kuku sokoni kuna kodi zake au uhuru wa soko n.k.
Na madhumuni yake ni watu wengi kadri inavyo wezekana wachangie maendeleo na utoaji wa huduma kwa watu wote waliopo Tanzania . Na sio kodi itoke kwa baadhi tu ya wananchi au tuseme wafanyakazi na wafanya biashara
4. Hakuna mara kile mara hiki , bali ni kuimarisha mifumo yetu ambayo ilikuwa dini kwa kutokuwa na wafanyakazi wa kutosha wenye weledi na matumizi mazuri ya technology yenye kuwezesha kupata taarifa sahihi za mtu/watu / vitu/ biashara n.k .
Vitu hivyo visipo fanyika ni huyu huyu mleta mada atalalamika kukosekana kwa waalimu, vyoo, thamani za shule vitu, ma desk n.k
Hivyo uwe na mchango endelevu ili Maisha ya watoto iwe bora zaidi. Fikiria future

Kuna kitu ambacho hukijui kuwa mfumo wa Maisha na kiuchumi aliyoweka Nyerere alijaribu kuweka system za UK,
Mfano vijiji vya ujamaa ilikuwa ni kama watu UK wanavyo ishi kwenye estate ambako kunawekwa social amenities hapo hapo ili kuleta tija ya matumizi ya huduma za kijamii, sasa wewe kwa uelewa wako mdogo hujui hilo, kingine ni uwazishwaji wa Board of Internal trade na kuwa na etc, bhesco,hosco ni sawa sawa na UK kuwa na hizo supermarket za chakula-RTC, vifaa vya ujenzi wickens, vyombo vya nyumbani Homebase n.k n.k .
Sasa wewe kwa kuwa uelewa wako mdogo huelewi, jingine ilikuwa ni kutoa ajira kwa watanzania kama wewe ili kupitia mashirika hayo upate exposure na uelewa wako use mkubwa na baadae ukienda kijijini kwenu unapeleka ulicho kiona kwenye nyumba za wafanyakazi au ma flat ya mashirika ya umma kijijini kwenu.
Sasa kutokana na uelewa wako mdogo wewe ulishindwa kuelewa hilo na Nyerere asingeweza kuwa kila sehemu.
Kuna kingine kwa sababu ya uelewa wako mdogo na no reserve kwa Sasa , mpaka uelewe nilicho kieleza hapo juu.


Hilo la account kuwa frozen, lipo kisheria na kama wewe unaona umeonewa unaweza kwenda mahakamani kudai account ifunguliwe na kudai fidia
Unapuyanga,Magu alisema Mazao chini ya tani 1 hakuna kodi au ushuru sasa baba kajaribu kusafirisha gunia moja tuu utapata majibu kama ni kweli au sio kweli .Nyie si mnaishi kwa jasho letu ndio maana unatetea ushuzi
 
Maswala ya uchumi duniani kote Yana kanuni zake ..ukitaka kuharibu uchumi basi Anza kupeleka mambo kipolisi polisi. Mara kodi hazieleweki

Mara account zimekuwa freeze za wafanyabiashara.

Mara Kodi mpya hadi za wanaofuga kuku wawili majumbani.

Mara hiki mara kile.

Mazingira yakishaanza tu kuwa 'unpredictable' .. kinachofata watu hukimbia na pesa zao..

Wengine watakaa nazo majumbani wakiona hata Bank hakuna usalama. Wengine wataacha kuanzisha biashara mpya..wakihofia Hali hii ya kutotabirika.

Wengine wata wekezs nchi za nje na nchi jirani.. mwisho WA siku uchumi utaporomoka tu.

Cha kushangaza Tanzania tuliwahi fanya haya makosa Sana wakati wa Nyerere. Why yanajirudia?

Washauri wanafanya kusudi Rais achukiwe apewe lawama?

Hicho ndio mukulu anataka acha kupotosha. Kila mtu alipe kodi. 5Tena.
 
Inaumiza sana,unakuta mtu prof kabisa lakini anafanya tofauti na alichosoma, sasa sijui anafanya hivyo kwa ajili ya nini? nashindwa hata kuwaelewa hawa watu.
 
Inaumiza sana,unakuta mtu prof kabisa lakini anafanya tofauti na alichosoma, sasa sijui anafanya hivyo kwa ajili ya nini? nashindwa hata kuwaelewa hawa watu.
 
Uelewa wa watu wengi wa Transformation ni mdogo ikiwemo mleta mada na wanao muunga mkono
1. Hakuna kodi isiyoeleweka zaidi ya kauli au dhana ya mleta mada, kwani ameshindwa kueleza ni kodi ipi isiyo eleweka ili aweze kueleweshwa.
2. Account kuwa frozen sio jambo geni na ndio maana Maneno hayo yapo hayakuanza wakati wa Nyerere au wakati wa Awamu hii ya Tano.
Na kama kuna Nchi ina freeze account ni USA ambayo imezui fedha nyingi sana Iran na za Venezuela, just to a mentioned a few e.g.
Na kuna sheria za kimataifa ktk usafirishaji wa pesa toka nchi moja kwenda nyingine, na hata ubadilishaji wa pesa wakati mwingine hufanyika ili kudhibiti mambo kama haya ya ukwepaji kodi na uhifadhi wa fedha zilizopatikana kwa njia zisizo faa kama matendo, madawa ya kuleta n.k.
3. Hakuna kodi ya kuku wawili wanaofugwa nyumbani for matumizi ya nyumbani, lakini kuna kodi zimewekwa kwa kufanya biashara mfano unauza kuku sokoni kuna kodi zake au uhuru wa soko n.k.
Na madhumuni yake ni watu wengi kadri inavyo wezekana wachangie maendeleo na utoaji wa huduma kwa watu wote waliopo Tanzania . Na sio kodi itoke kwa baadhi tu ya wananchi au tuseme wafanyakazi na wafanya biashara
4. Hakuna mara kile mara hiki , bali ni kuimarisha mifumo yetu ambayo ilikuwa dini kwa kutokuwa na wafanyakazi wa kutosha wenye weledi na matumizi mazuri ya technology yenye kuwezesha kupata taarifa sahihi za mtu/watu / vitu/ biashara n.k .
Vitu hivyo visipo fanyika ni huyu huyu mleta mada atalalamika kukosekana kwa waalimu, vyoo, thamani za shule vitu, ma desk n.k
Hivyo uwe na mchango endelevu ili Maisha ya watoto iwe bora zaidi. Fikiria future
Hata shetani hakosi wafuasi , yaani oneni huyu jamaa anasapoti udhumati , uvunjaji wa sheria , katiba , ukiukwaji wa haki za binadamu , unapora hela za watu kisingizio ukwepaji kodi , utakatishaji ,uhujumu uchumi , The king is possessed by the evil spirit .
 
Maswala ya uchumi duniani kote Yana kanuni zake ..ukitaka kuharibu uchumi basi Anza kupeleka mambo kipolisi polisi. Mara kodi hazieleweki

Mara account zimekuwa freeze za wafanyabiashara.

Mara Kodi mpya hadi za wanaofuga kuku wawili majumbani.

Mara hiki mara kile.

Mazingira yakishaanza tu kuwa 'unpredictable' .. kinachofata watu hukimbia na pesa zao..

Wengine watakaa nazo majumbani wakiona hata Bank hakuna usalama. Wengine wataacha kuanzisha biashara mpya..wakihofia Hali hii ya kutotabirika.

Wengine wata wekezs nchi za nje na nchi jirani.. mwisho WA siku uchumi utaporomoka tu.

Cha kushangaza Tanzania tuliwahi fanya haya makosa Sana wakati wa Nyerere. Why yanajirudia?

Washauri wanafanya kusudi Rais achukiwe apewe lawama?
Pole nyingi sana zimfikie Yusuph Manji
 
In Principle Magufuli ni Rais wetu na tutakuwa nae mpaka November 2025 wakati Rais mwingine atakaechaguliwa 2025 October akichukua kijiti toka kwake.
Tanzania ni nyumbani na kwa wengi wetu hatuna 2nd home country ili kuishi;

John Pombe Magufuli ni mwanadamu kama tulivyo mimi na wewe na njia pekee ya kuishi nae ni kumheshimu kama mwanadamu mwenzetu then kumheshimu pia kwa nafasi yake ya Rais wa JMT ambae pia kikatiba ni mkuu wa nchi na amri jeshi mkuu.

Yet sheria za uwekezaji Tanzania na policy ni zilezile ambazo Mkapa na JK waliziacha. Sanasana TIC kaiweka chini ya OR na kuteua waziri wa uwekezaji ili Tanzania ya kesho iwe bora kuliko leo.

Kuna pahala kwenye biblia Mungu alizungumza na wanadamu kupitia nabii Isaya kwa kumwambia mwanadamu "come and let us reason together"
Njia pekee ya kumshawishi mkulu ni kutafuta platform za dialog kwa staha na kuja na proposed solutions ambazo wananchi watapata na serikali ambayo lengo moja wapo ni kukusanya kodi za kuendeshea nchi nao wapate.

Let us come with facts na tuseme, with time mambo yatabadiika.

Zamani ukifungua biashara, hata kupata TIN bila kishoka au kutoa kitu kidogo TIN ulikuwa haupati kirahisi hata kama ni TIN kwa ajili ya leseni au kadi ya gari. Leo unaingia online website ya TRA inapata TIN.

Hebu tujenge hoja, namna gani tufanye ili serikali ipate na wananchi wapate kwa kujenga uchumi jumuishi na endelevu. Kuna wakati wafanya biashara wa madini walilalamikia kodi na tozo chungu mzima kwenye mfumo wa biashara ya dhahabu, kwa sasa uwazi, usalama na uhakika wa kuuza dhahabu ni mkubwa kwa mchimbaji, broker na dealer hali kadhalika.

kwa upande mwingine, serikali ije na strategic investment models kwa hii miaka 5 ya mwisho ili kuvutia mitaji toka nje kwa kutumia local guarantee.
Mathalani, kuna Mtanzania mwenzetu namfahamu, alipata fursa ya kupata mkopo wa machine/equipments za kuzalisha viwatilifu (agro-inputs) vya mashambani. Ofcourse hakuna na fedha ya kununua machine/equiments, ila ana akili ya kuweza kushawishi kupata mkopo. Soko la viwatilifu Tanzania lipo na ni la hakika iwe kwa ajili ya pamba, chai, tumbaku, kahawa na kila mwaka tuna import.

Kwenye model kama hii, hutu mtu na kampuni yake wanahitaji dhamani toka hazina, wizara ya kilimo (TPRI) kumhakikishia soko na signature ya mwanasheria. Fedha zinalipwa toka banks za nje ili machine na equipment zije, then kwa kuzalisha ndani tuna-cut down imports ya viwatilifu, vijana wanapata ajira, serikali inapata tozo na kodi tokana na uendeshaji wa kiwanda, huenda mkulima akanunua bei nafuu agro-inputs kwa kuwa uzalishaji wa ndani unapunguza costs za usafirishaji kama ni toka india, China au Egypt.
In less than 4 years mkopo ulikuwa unarejeshwa na mzunguko wa ndani unaongezeka. Fedha za kujenga majego waliokuwa wanafanya NSSF na PPF au LAPF kwa sasa PSSSF zingeweza kukopeshwa kwa wekezaji kama huyu jamaa ninaemfahamu na NSSF pia anakua na hakika ya kuongeza wanachama ambao watakuwa wanafanya kazi kwenye hii industry.
That is being smart.
Ila honestly, enzi za JK kulikuwa na watu wa kati wakisikia ua good investment proposal walikuwaga wanaipiga juu kwa juu baada ya kupata blue print.
Kwa sasa ni ngumu kumpata Mkulu ila kama kuna wasaidizi wake wana open mind, uwekezaji wa sasa duniani hautegemei sana cash in hand au bank aliyonayo mwekezaji but rather mahitaji ya soko.

Tunapoingia 2021, let us reduce complains, ila tuje na mada za kujadili na kukosoana kwa what can be done ili tuwe bora zaidi na Tanzania isonge mbele.

Hakunaga single model iliyo sawa 100% kwenye uwekezaji.

Hata katani ambayo ililetwa Tanzania toka Mexico iliingia kwa njia haramu (sisal seedilings was was smuggled) ila baadae katani ikawa na mchango mkubwa kwenye kujenga uchumi wa Tanganyika chini ya Ujerumani, Mwingereza na baadae Tanzania.

Kama kitengo cha TIC wangekuwa na akili za kutafuta new idea, new projects na kufanya kila tuwezalo tuwekeze kama namna wahalifu wanavyosakwa na polisi, TCRA, Financial Intelligrnce Unit, PCCB; tungekuwa na chombo cha ku-extract nini kifanyake na kwa kasi kiasi gani, bila shaka 2021 na kuendelea tungefanya vema zaidi.

Heri ya mwaka mpya 2021 wakubwa
Watakuja kukubishia japo andiko lako limewapa ukweli na elimu juu.
Lakini hata mioyo ya wabishaji inajua rais John Pombe Magufuli ana mema mengi kuliko hayo mabaya wanayomlazimishia
 
Usimlaumu mtu yeyote.

Magufuli HASHAURIKI. Neno lake ni FINAL
Tanzania ina Rais, sio mfalme! Rais anapewa dhamana yakutumikia umma, na sio mwenye umma!

Nchi inaendeshwa kwa mifumo na viongozi wanatekeleza majukumu ndani ya mifumo. Anayeshindwa hili, kuna mifumo ya kumwondoa.

Je, tuseme Tanzania haina mifumo ya uongozi?
 
Anaingizwaje wakati alisema "haihitaji kupangiwa" wakimpangia ndio wanaharibu...
 
Maswala ya uchumi duniani kote Yana kanuni zake ..ukitaka kuharibu uchumi basi Anza kupeleka mambo kipolisi polisi. Mara kodi hazieleweki

Mara account zimekuwa freeze za wafanyabiashara.

Mara Kodi mpya hadi za wanaofuga kuku wawili majumbani.

Mara hiki mara kile.

Mazingira yakishaanza tu kuwa 'unpredictable' .. kinachofata watu hukimbia na pesa zao..

Wengine watakaa nazo majumbani wakiona hata Bank hakuna usalama. Wengine wataacha kuanzisha biashara mpya..wakihofia Hali hii ya kutotabirika.

Wengine wata wekezs nchi za nje na nchi jirani.. mwisho WA siku uchumi utaporomoka tu.

Cha kushangaza Tanzania tuliwahi fanya haya makosa Sana wakati wa Nyerere. Why yanajirudia?

Washauri wanafanya kusudi Rais achukiwe apewe lawama?
Vipi yana kanuni pia watu fulani wasilipe Kodi japo wanaingiza kipato tena kikubwa?
 
Tanzania ina Rais, sio mfalme! Rais anapewa dhamana yakutumikia umma, na sio mwenye umma!

Nchi inaendeshwa kwa mifumo na viongozi wanatekeleza majukumu ndani ya mifumo. Anayeshindwa hili, kuna mifumo ya kumwondoa.

Je, tuseme Tanzania haina mifumo ya uongozi?
Ipo kwenye vitabu tu, not practical in Tanzania, hasa awamu hii
 
Tanzania ina Rais, sio mfalme! Rais anapewa dhamana yakutumikia umma, na sio mwenye umma!

Nchi inaendeshwa kwa mifumo na viongozi wanatekeleza majukumu ndani ya mifumo. Anayeshindwa hili, kuna mifumo ya kumwondoa.

Je, tuseme Tanzania haina mifumo ya uongozi?
Tanzania Rais ndio mfumo wenyewe. Halazimiki kufuata ushauri wa mtu yeyote.


Hata kama akiamua kuhamishia HAZINA Ghetto kwake, hakuna wa kumuuliza chochote yaani.
 
Back
Top Bottom