Rais Magufuli anaingizwa 'mkenge' na washauri?

Umenikumbusha wahindi kutupa magunia ha fedha, Nguo na ikafuatia RTC, Nikiwa mdogooo. Ili uishi vizuri ulitakiwa kuwa na watu wa karibu sana RTC, POLISI NA HOSPITAL. HAPO UTAPATIA. LKN PIA WAGAMBO WALIKUWA WABABE SANA.
KWA SASA UZURI WAPIGA ZUMARI NA WAPINZANI SOTE TUNAHUSIKA KWENYE DUKA LA MANGI. TUSIRUDI KULE MWANZONI MWA 1080S
Tatizo la Viongozi aina ya Nyerere ni kuamini kuwa maono yao ni sahihi.

Wafanyabiashara wamepitia madhila mengi sana tangu awamu ya kwanza kwa baishara na kampuni zao kutaifishwa, nyumba kutaifishwa, mpaka ilifikia wakati wa operesheni maduka yaani mtu anaitwa mhujumu uchumi kwa kuwa na boksi moja la sabuni.

Matikeo ya hali hiyo yalipelekea bidhaa kupotea madukani! Watu wakavaa magunia kabla ya kuruhusiwa nguo za mitumba.

Uongozi wowote ambao unatafuta watu wa kuwaangushia jumba bovu kwa kushindwa kwake kuja na suluhu ya matatizo ya wananchi ni uongozi usiofaa. Shime watawala wasiturudishe nyuma.
 
Maswala ya uchumi duniani kote Yana kanuni zake ..ukitaka kuharibu uchumi basi Anza kupeleka mambo kipolisi polisi..
Mara kodi hazieleweki
Mara account zimekuwa freeze za wafanyabiashara ...
Mara Kodi mpya hadi za wanaofuga kuku wawili majumbani..
Mara hiki mara kile..
Mazingira yakishaanza Tu kuwa 'unpredictable' .. kinachofata watu hukimbia na pesa zao..

Wengine watakaa nazo majumbani wakiona hata Bank hakuna usalama
Wengine wataacha kuanzisha biashara mpya..wakihofia Hali hii ya kutotabirika..

Wengine wata wekezs nchi za nje na nchi jirani.. mwisho WA siku uchumi utaporomoka tu..

Cha kushangaza Tanzania tuliwahi fanya haya makosa Sana wakati wa Nyerere..
Why yanajirudia?
Washauri wanafanya kusudi Rais achukiwe apewe lawama???
Tunashida ya ufikiriaji wa ufumbuzi wa changamoto zinazotukabili "reasoning and prioritize" plus "technical know who" hii iliwahi kuitokea TANESCO wakaajili Network solutions kuwasaidia menejimenti...

Sio kitu kigeni kuomba au ku hire professionals kukusaidia kufikiri kuliko kulazimisha watendaji walio na fikira zenye ukomo "limited capacity" kuja na kitu kipya. Ni kusukuma kisicho sogezeka.

Most wa wateule ni wajinga (sina maana mbaya) kwenye maeneo wanayoyaongoza wanakuwa na gap kubwa, kwanza kuelewa wanachotakiwa kufanya au kutoweza ku forecast.

Hawajui objectives za taasisi zao.
Zaidi ya kuja na mitazamo ya kulinda vyeo na nyadhifa zao
"Mtu anawaza kabla sijatimuliwa lazima niondoke na mtu!!" So what?. Hawana mbinu za kuongeza tija... Hawajui njia zipi watumie kutorejea makosa yanayojirudia kila mara. Uzembe wa kupanga mikakati na kuisimamia, taratibu za kinidhamu hazijali uhalisia .. yaani vinaanzishwa vitu mia badala ya kuhakikisha hiki kimefika mwisho anaanza kukimbizana na hiki... Hawana integrity ni kuwaza upigaji tu... Kuwaza posho za safari na vibahasha vya kaki vikaoni...

Masilahi ya nchi kwao sio kipaumbele. JPM anakazi sana mpaka anaoneka mshamba kumbe wanamkoroga balaa.
 
Umenikumbusha wahindi kutupa mGunia ha frdha, Nguo na ikafuatia RTC, Nikaa mdogooo. Ili uishi ukitakiwa kuwa na wangu wa karibu sana RTC, POLISI NA HOSPITAL. HAPO UTAPATIA. LKN PIA WAGAMBO WALIKUWA WABABE SANA.
KWA SASA UZURI WAPIGA ZUMARI NA WAPINZANI SOTE TJNAHUSKKA KWENYE DUKA LA MANGI. TUSITUDI KULE MWANZONI MWA 1080S

Nyerere na Idd Amini ndio waliowafumbua macho wahindi kutowekeza nchi moja pekee kwa zile zuluma za Mali zao walizowafanyia. Thus ndugu huwa awakai nchi moja mfano mmoja tza, mwingine Cameroon, Kenya, Malawi uangalia tu upepo wakiona dalili za aliyepata madaraka ni mjamaa au dikteta haraka Sana uhamisha biashara nje ya nchi alipo ndugu yake, Hadi mtawala akimaliza mda wake wanarudi tena kuwekeza kwa Kasi. Wote waliokimbia jiwe akiondoka watarudi kuwekeza tena. Hii imewasaidia Sana kulinda pesa zao wasifilisiwe maana kuwekeza Africa kwa investor makini ni very very risk unaweza ukaamka asubui ukawa fukara wakataifisha KILA kitu ukaachiwa boksa tu, Hawa watawala wenye mawazo ya kuwashusha matajiri wawe masikini wamejaa afrika yote ya weusi. Afrika ya weupe hawana mambo hizo kule ni salama zaidi kuwekeza.
 
Umenikumbusha wahindi kutupa mGunia ha frdha, Nguo na ikafuatia RTC, Nikaa mdogooo. Ili uishi ukitakiwa kuwa na wangu wa karibu sana RTC, POLISI NA HOSPITAL. HAPO UTAPATIA. LKN PIA WAGAMBO WALIKUWA WABABE SANA.
KWA SASA UZURI WAPIGA ZUMARI NA WAPINZANI SOTE TJNAHUSKKA KWENYE DUKA LA MANGI. TUSITUDI KULE MWANZONI MWA 1080S
DINGI HUNA MENO AU NDO UMEANDIKA NINI HIKI
 
Hadi banks sio safe tena
Account freezing ni anytime wakiku target
Mambo ya 'Urgency Notice'...

Hii kitu hata mimi huwa siielewi sana. Yani TRA inakuwa wakala wa Serikali; inakamata fedha za mteja na kuzihamishia Hazina bila hata amri halali ya Mahakama!

Hayati Ben Mkapa aliianzisha TRA kwa lengo jema sana, ila kwa hali ilivyo sasa, nashawishika kusema kwamba hii ndiyo imekuwa Mamlaka ya hovyo kabisa kuwahi kutokea nchi hii.

Ni swala la muda tu.
 
Ju
Maswala ya uchumi duniani kote Yana kanuni zake ..ukitaka kuharibu uchumi basi Anza kupeleka mambo kipolisi polisi.. Mara kodi hazieleweki

Mara account zimekuwa freeze za wafanyabiashara ...

Mara Kodi mpya hadi za wanaofuga kuku wawili majumbani..

Mara hiki mara kile..

Mazingira yakishaanza Tu kuwa 'unpredictable' .. kinachofata watu hukimbia na pesa zao..

Wengine watakaa nazo majumbani wakiona hata Bank hakuna usalama. Wengine wataacha kuanzisha biashara mpya..wakihofia Hali hii ya kutotabirika..

Wengine wata wekezs nchi za nje na nchi jirani.. mwisho WA siku uchumi utaporomoka tu..

Cha kushangaza Tanzania tuliwahi fanya haya makosa Sana wakati wa Nyerere.. Why yanajirudia?

Washauri wanafanya kusudi Rais achukiwe apewe lawama???
Jiwe haambiliki kila kitu anafanya mwenyewe kwa kutumia akili yake
Ukimshauri utakua matatani Ndio maana hata ofisi yake ipo shaghalabaghala
Rais anakitabu cha kama sutra ofisini shida tupu
 

Attachments

  • Screenshot_20201216-155134.jpg
    Screenshot_20201216-155134.jpg
    65.6 KB · Views: 1
  • Screenshot_20201216-155432.jpg
    Screenshot_20201216-155432.jpg
    60.9 KB · Views: 1
  • IMG_20201231_094521.jpg
    IMG_20201231_094521.jpg
    44.4 KB · Views: 1
Maswala ya uchumi duniani kote Yana kanuni zake ..ukitaka kuharibu uchumi basi Anza kupeleka mambo kipolisi polisi..
Mara kodi hazieleweki
Mara account zimekuwa freeze za wafanyabiashara ...
Mara Kodi mpya hadi za wanaofuga kuku wawili majumbani..
Mara hiki mara kile..
Mazingira yakishaanza Tu kuwa 'unpredictable' .. kinachofata watu hukimbia na pesa zao..

Wengine watakaa nazo majumbani wakiona hata Bank hakuna usalama
Wengine wataacha kuanzisha biashara mpya..wakihofia Hali hii ya kutotabirika..

Wengine wata wekezs nchi za nje na nchi jirani.. mwisho WA siku uchumi utaporomoka tu..

Cha kushangaza Tanzania tuliwahi fanya haya makosa Sana wakati wa Nyerere..
Why yanajirudia?
Washauri wanafanya kusudi Rais achukiwe apewe lawama???
Uelewa wa watu wengi wa Transformation ni mdogo ikiwemo mleta mada na wanao muunga mkono
1. Hakuna kodi isiyoeleweka zaidi ya kauli au dhana ya mleta mada, kwani ameshindwa kueleza ni kodi ipi isiyo eleweka ili aweze kueleweshwa.
2. Account kuwa frozen sio jambo geni na ndio maana Maneno hayo yapo hayakuanza wakati wa Nyerere au wakati wa Awamu hii ya Tano.
Na kama kuna Nchi ina freeze account ni USA ambayo imezui fedha nyingi sana Iran na za Venezuela, just to a mentioned a few e.g.
Na kuna sheria za kimataifa ktk usafirishaji wa pesa toka nchi moja kwenda nyingine, na hata ubadilishaji wa pesa wakati mwingine hufanyika ili kudhibiti mambo kama haya ya ukwepaji kodi na uhifadhi wa fedha zilizopatikana kwa njia zisizo faa kama matendo, madawa ya kuleta n.k.
3. Hakuna kodi ya kuku wawili wanaofugwa nyumbani for matumizi ya nyumbani, lakini kuna kodi zimewekwa kwa kufanya biashara mfano unauza kuku sokoni kuna kodi zake au uhuru wa soko n.k.
Na madhumuni yake ni watu wengi kadri inavyo wezekana wachangie maendeleo na utoaji wa huduma kwa watu wote waliopo Tanzania . Na sio kodi itoke kwa baadhi tu ya wananchi au tuseme wafanyakazi na wafanya biashara
4. Hakuna mara kile mara hiki , bali ni kuimarisha mifumo yetu ambayo ilikuwa dini kwa kutokuwa na wafanyakazi wa kutosha wenye weledi na matumizi mazuri ya technology yenye kuwezesha kupata taarifa sahihi za mtu/watu / vitu/ biashara n.k .
Vitu hivyo visipo fanyika ni huyu huyu mleta mada atalalamika kukosekana kwa waalimu, vyoo, thamani za shule vitu, ma desk n.k
Hivyo uwe na mchango endelevu ili Maisha ya watoto iwe bora zaidi. Fikiria future
Wewe ndo una akili ndogo sana..
Account freezing ya USA inafanywa kiholela?
Kwa mfanyabiasharra yoyote bila kupitia mahakamani??

Unataka kuniambia leo serikali ya USA inaweza kufanya account freezing Kwa Microsoft au Google bila hata mahakama kusema???.. jidanganye hivyo hivyo..

Unamsifia Nyerere alivyoharibu uchumi?
Hadi watu wakapanga foleni za sabuni?
Kuna kitu ambacho hukijui kuwa mfumo wa Maisha na kiuchumi aliyoweka Nyerere alijaribu kuweka system za UK,
Mfano vijiji vya ujamaa ilikuwa ni kama watu UK wanavyo ishi kwenye estate ambako kunawekwa social amenities hapo hapo ili kuleta tija ya matumizi ya huduma za kijamii, sasa wewe kwa uelewa wako mdogo hujui hilo, kingine ni uwazishwaji wa Board of Internal trade na kuwa na etc, bhesco,hosco ni sawa sawa na UK kuwa na hizo supermarket za chakula-RTC, vifaa vya ujenzi wickens, vyombo vya nyumbani Homebase n.k n.k .
Sasa wewe kwa kuwa uelewa wako mdogo huelewi, jingine ilikuwa ni kutoa ajira kwa watanzania kama wewe ili kupitia mashirika hayo upate exposure na uelewa wako use mkubwa na baadae ukienda kijijini kwenu unapeleka ulicho kiona kwenye nyumba za wafanyakazi au ma flat ya mashirika ya umma kijijini kwenu.
Sasa kutokana na uelewa wako mdogo wewe ulishindwa kuelewa hilo na Nyerere asingeweza kuwa kila sehemu.
Kuna kingine kwa sababu ya uelewa wako mdogo na no reserve kwa Sasa , mpaka uelewe nilicho kieleza hapo juu.


Hilo la account kuwa frozen, lipo kisheria na kama wewe unaona umeonewa unaweza kwenda mahakamani kudai account ifunguliwe na kudai fidia
 
Ukifuata sheria na kulipa kodi ya serikali kuna shida gani? Nilikuwa na kaduka kangu ila nilikwepa kodi TRA na halmashauri, awamu hii ya JPM nilibanwa nikaona mambo magumu kwani nilizoea vya kunyonga. Ila sasa nafuata sheria na mambo yanaenda vizuri.
 
Back
Top Bottom