Rais Magufuli anafuatiliwa Afrika yote, sio Kenya tu

MK254

JF-Expert Member
May 11, 2013
31,744
48,385
Watanzania wamefungua nyuzi humu wakilalamika kwanini Wakenya wanafuatilia rais Magufuli, ila nataka kuwaambia taarifa zinazotoka Tanzania za mambo anayoyasema rais wenu aisei ni za kipekee hadi inabidi afuatiliwe tu Afrika yote.

Kwa mfano nimeona tovuti ya Ghana ambapo humo kuna taarifa za Magufuli kukiri huwa anadukua simu za mawaziri wake na kuskliza wanapowasiliana, yaani hiyo kauli ni ya kipekee haijawahi kusemwa na rais yeyote hadharani maana hayo huwa mambo ya usalama wa taifa, sasa tunaposoma taarifa kama hizo kwa kweli lazima tufuatilie maana kama movie vile.
Hii hapa tovuti ya Ghana inayomjadili Tanzania’s President Spies on His Ministers and other Top Government Officials’ Phones
 
Jirani ndiyo matatizo ya kumkabidhi Nchi kichaa eti aiongoze!!!! Jiwe na kuongoza nchi wapi na wapi!!! Watanzania tunaojitambua hatukutegemea kuiona nchi yetu hapa ilipofikia kuzungumziwa vibaya kwenye nchi nyingi na wengi tulidhani Kikwete was worse kumbe tulikosea sana.

Watanzania wamefungua nyuzi humu wakilalamika kwanini Wakenya wanafuatilia rais Magufuli, ila nataka kuwaambia taarifa zinazotoka Tanzania za mambo anayoyasema rais wenu aisei ni za kipekee hadi inabidi afuatiliwe tu Afrika yote.

Kwa mfano nimeona tovuti ya Ghana ambapo humo kuna taarifa za Magufuli kukiri huwa anadukua simu za mawaziri wake na kuskliza wanapowasiliana, yaani hiyo kauli ni ya kipekee haijawahi kusemwa na rais yeyote hadharani maana hayo huwa mambo ya usalama wa taifa, sasa tunaposoma taarifa kama hizo kwa kweli lazima tufuatilie maana kama movie vile.
Hii hapa tovuti ya Ghana inayomjadili Tanzania’s President Spies on His Ministers and other Top Government Officials’ Phones
 
Watanzania wamefungua nyuzi humu wakilalamika kwanini Wakenya wanafuatilia rais Magufuli, ila nataka kuwaambia taarifa zinazotoka Tanzania za mambo anayoyasema rais wenu aisei ni za kipekee hadi inabidi afuatiliwe tu Afrika yote.

Kwa mfano nimeona tovuti ya Ghana ambapo humo kuna taarifa za Magufuli kukiri huwa anadukua simu za mawaziri wake na kuskliza wanapowasiliana, yaani hiyo kauli ni ya kipekee haijawahi kusemwa na rais yeyote hadharani maana hayo huwa mambo ya usalama wa taifa, sasa tunaposoma taarifa kama hizo kwa kweli lazima tufuatilie maana kama movie vile.
Hii hapa tovuti ya Ghana inayomjadili Tanzania’s President Spies on His Ministers and other Top Government Officials’ Phones
kweli aisee...... nchi yetu imekuwa ze comedy, na Masanja Mkandamizaji wetu ni maarufu kweli kweli Africa na duniani kote hadi Beijing!
 
Mtu msamehe bure majirani zetu wa kenya, maana huyu jamaa ni msiba hata kwetu sisi watanzania. Aibu kweli

Inafikia hatua hata tukisafiri kwenda baadhi ya nchi za nje, tunakutana na marafiki zetu wanatucheka na kutukejeli kwa vituko vyake. Inatuumiza sana wakati mwingine, sio siri.

Noma sana wakuu.
Mimi huku nilipo naulizwa kuhusu family planning na ndoa za mitala! Imefika mahala nimewaambia anatania lakini najua ni aibu kwetu sote. Mtu ufyatue watoto kama matofali wakati dawa, madawati, walimu, nyumba za kuishi, maji, barabara kila kitu shida shida mpaka siku ya mwisho ehhhhe!!! Kwa sauti ya Mbaraka Mwinshehe.
 
Watanzania wamefungua nyuzi humu wakilalamika kwanini Wakenya wanafuatilia rais Magufuli, ila nataka kuwaambia taarifa zinazotoka Tanzania za mambo anayoyasema rais wenu aisei ni za kipekee hadi inabidi afuatiliwe tu Afrika yote.

Kwa mfano nimeona tovuti ya Ghana ambapo humo kuna taarifa za Magufuli kukiri huwa anadukua simu za mawaziri wake na kuskliza wanapowasiliana, yaani hiyo kauli ni ya kipekee haijawahi kusemwa na rais yeyote hadharani maana hayo huwa mambo ya usalama wa taifa, sasa tunaposoma taarifa kama hizo kwa kweli lazima tufuatilie maana kama movie vile.
Hii hapa tovuti ya Ghana inayomjadili Tanzania’s President Spies on His Ministers and other Top Government Officials’ Phones
Sio Watanzania ni vijana wa lumumba na huwa wanaandikiwa hivyo kukikosekana cha kuandikiwa

Jr
 
Hahahaha wakenya mtaumia sana, Magufuli anawalaza macho. Magufuli katika kipindi chake cha uongozi wa miaka mitatu sasa, amechaguliwa kuwa "the best president wa Africa miaka miwili mfululizo, na mwaka huu amekua namba mbili akitanguliwa na rais mstaafu wa Botswana.

Ukitaka kujua kwamba Magufuli ni very important president hapa Africa, ni hili gazeti la Ghana kuandika anachozungumza Magufuli, wanafuatilia kila abachofanya, hakuna rais anayrfuatiliwa hapa Africa kama Magufuli.

Hayo mazungumzo aliyosema abafuatilia, watanzania wote tumekua tukifuatilia posts za mawaziri mbalimbali katika Instagram zao, wengi tukiwashutumu kwa majibizano wanayofanya katika mitandao ya kijamii, iweje rais asifuatilie malombano hayo ili ajue kinachoendelea?.

Wakenyabajisikia wivu kwasababu Magufuli anafanya kazi yake ipasavyo, abawajuwa mawaziri na watendaji wake mwanzo mwisho, kila anayefanya vizuri anamjua na anayefanya vibaya anajulikana na anaondolewa. Hongera Magufuli.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Mtu msamehe bure majirani zetu wa kenya, maana huyu jamaa ni msiba hata kwetu sisi watanzania. Aibu kweli

Inafikia hatua hata tukisafiri kwenda baadhi ya nchi za nje, tunakutana na marafiki zetu wanatucheka na kutukejeli kwa vituko vyake. Inatuumiza sana wakati mwingine, sio siri.

Noma sana wakuu.
Sasa unasubiri nini kuondoka

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Magufuli ni mkweli yaani kabisa..Hakuna Rais duniani ambaye hafuatilii mazungumzo ya mawaziri wake, Ladba awe lofa kama uhuru kenyatta ambaye naibu wake anaitafuna serikali bila yeye kujua.
Vizuri sana mawaziri wajue hadharani tena bila kifichwa kwamba mazungumzo yao kwa kazi zao za serikali yana fuatiliwa, wasijaribu ukanjanja.
Huo ndio ukweli..kama hutaki mazungumzo yako ya fuatiliwe usiutake kazi ya uwaziri
 
Back
Top Bottom