Rais Magufuli anafuatiliwa Afrika yote, sio Kenya tu

Magufuli ni mkweli yaani kabisa..Hakuna Rais duniani ambaye hafuatilii mazungumzo ya mawaziri wake, Ladba awe lofa kama uhuru kenyatta ambaye naibu wake anaitafuna serikali bila yeye kujua.
Vizuri sana mawaziri wajue hadharani tena bila kifichwa kwamba mazungumzo yao kwa kazi zao za serikali yana fuatiliwa, wasijaribu ukanjanja.
Huo ndio ukweli..kama hutaki mazungumzo yako ya fuatiliwe usiutake kazi ya uwaziri
Hakuna rais mwerevu asiyejua mahusiano ya kikazi ya mawaziri na watendaji wake, usipojua utashindwa kujua nani ni mchapakazi ili aendelee kuchapa kazi na nani ni kikwazo kwa wengine. Utawezaje kupanga safu ya mawaziri wako au hata PSs kama hujui mahusiano yao ya kikazi yakoje?

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Mimi huku nilipo naulizwa kuhusu family planning na ndoa za mitala! Imefika mahala nimewaambia anatania lakini najua ni aibu kwetu sote. Mtu ufyatue watoto kama matofali wakati dawa, madawati, walimu, nyumba za kuishi, maji, barabara kila kitu shida shida mpaka siku ya mwisho ehhhhe!!! Kwa sauti ya Mbaraka Mwinshehe.

yaani uzae watoto kama panya kisa rais kasema,we usipate aibu kwa ujinga wa mtu mwingine,wewe unayejua alitania kaa na busara zako.

Wakikuuliza waambie,kama wanafikiria hakuna ulithi mwingine kwa binaadamu zaidi ya watoto,waendelee kuzaa,mpaka wapewe vyeti vya kufuzu,maamae

Haya maisha ukijifanya fala wa faida tunakuchongea tuzo,ili ujipongeze.
 
Mtu msamehe bure majirani zetu wa kenya, maana huyu jamaa ni msiba hata kwetu sisi watanzania. Aibu kweli

Inafikia hatua hata tukisafiri kwenda baadhi ya nchi za nje, tunakutana na marafiki zetu wanatucheka na kutukejeli kwa vituko vyake. Inatuumiza sana wakati mwingine, sio siri.

Noma sana wakuu.
Ni nchi gani unaenda we msukule wa mbowe? JPM ni nyota kila kona, mpaka ulaya wanamtaka JPM anyooshe nchi zao japo masaa kadhaa. Mnaopata tabu ni mafisadi na wauza unga na wala ruzuku
 
Hahahaha wakenya mtaumia sana, Magufuli anawalaza macho. Magufuli katika kipindi chake cha uongozi wa miaka mitatu sasa, amechaguliwa kuwa "the best president wa Africa miaka miwili mfululizo, na mwaka huu amekua namba mbili akitanguliwa na rais mstaafu wa Botswana.

Ukitaka kujua kwamba Magufuli ni very important president hapa Africa, ni hili gazeti la Ghana kuandika anachozungumza Magufuli, wanafuatilia kila abachofanya, hakuna rais anayrfuatiliwa hapa Africa kama Magufuli.

Hayo mazungumzo aliyosema abafuatilia, watanzania wote tumekua tukifuatilia posts za mawaziri mbalimbali katika Instagram zao, wengi tukiwashutumu kwa majibizano wanayofanya katika mitandao ya kijamii, iweje rais asifuatilie malombano hayo ili ajue kinachoendelea?.

Wakenyabajisikia wivu kwasababu Magufuli anafanya kazi yake ipasavyo, abawajuwa mawaziri na watendaji wake mwanzo mwisho, kila anayefanya vizuri anamjua na anayefanya vibaya anajulikana na anaondolewa. Hongera Magufuli.

Sent using Jamii Forums mobile app
Si eti tunaumia bali tunacheka full comedy alafu unasema makufuli amekuwa best President miaka miwili mfululizo ila mwaka huu wa comedy show amekuwa namba mbili, si by 2020 Utakuwa anacheza ligi moja na Joseph Kabila.
 
Watanzania wamefungua nyuzi humu wakilalamika kwanini Wakenya wanafuatilia rais Magufuli, ila nataka kuwaambia taarifa zinazotoka Tanzania za mambo anayoyasema rais wenu aisei ni za kipekee hadi inabidi afuatiliwe tu Afrika yote.

Kwa mfano nimeona tovuti ya Ghana ambapo humo kuna taarifa za Magufuli kukiri huwa anadukua simu za mawaziri wake na kuskliza wanapowasiliana, yaani hiyo kauli ni ya kipekee haijawahi kusemwa na rais yeyote hadharani maana hayo huwa mambo ya usalama wa taifa, sasa tunaposoma taarifa kama hizo kwa kweli lazima tufuatilie maana kama movie vile.
Hii hapa tovuti ya Ghana inayomjadili Tanzania’s President Spies on His Ministers and other Top Government Officials’ Phones
Hata Marekani CIA wanamdukua hadi Rais wao, ni kawaida idara za ujasusi zinazozingatia maslahi mapana ya nchi kutomwamini yeyote, labda kibaya ni kuweka wazi, ingawa inaweza kuwa mbinu ya kuwaweka wenye dhamana kwenye mstari na kuogopa kujali matumbo yao na familia zao. Mfano Naibu waziri wa mambo ya ndani alipotaka kuingiza vijana wake kwenye ajira ya polisi kwa kutumia cheo chake, bila udukuzi isingejulikana, je hilo likiruhusiwa unategewa watoto wa maskini na wakulima watapata ajira huko?

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Taahira mwingine wewe! Vilio vya Wakulima, Wafanyakazi na Wafanyabiashara juu ya dhuluma mbali mbali wanazofanyiwa na huyo dhalimu ZWAZWA wewe huzioni! Nchi kuwa na MAZWAZWA kama wewe ni hasara kubwa sana kwa Taifa kutwa kucha kupigia makofi udhalimu.

Huyo mtu na ndugu yake salary sleep wako kwenye kipindi kigumu sana awamu hii,wanalia bila kujificha.
 
Huyo mtu na ndugu yake salary sleep wako kwenye kipindi kigumu sana awamu hii,wanalia bila kujificha.
😂😂😂😂😂 Hiyo ni bado, mpaka 2025 akili zitawakaa sawa, uzuri wenyewe wanakiri Kikwete alikua mzuri tofauti na walivyokua wakituhadaa hapa, ngoja na JPM watamsafisha tu kikubwa uzima ila hakuna rangi wataacha kuona.
 
Jirani ndiyo matatizo ya kumkabidhi Nchi kichaa eti aiongoze!!!! Jiwe na kuongoza nchi wapi na wapi!!! Watanzania tunaojitambua hatukutegemea kuiona nchi yetu hapa ilipofikia kuzungumziwa vibaya kwenye nchi nyingi na wengi tulidhani Kikwete was worse kumbe tulikosea sana.
Hata sasa unakosea pia! Lakini nilishakuambia mambo ya TZ waachie watz wewe endelea kubeba mabox na kuosha vibibi na vibabu vizee huko US. Najua unapata stress sana huko.
 
Taahira mwingine wewe! Vilio vya Wakulima, Wafanyakazi na Wafanyabiashara juu ya dhuluma mbali mbali wanazofanyiwa na huyo dhalimu ZWAZWA wewe huzioni! Nchi kuwa na MAZWAZWA kama wewe ni hasara kubwa sana kwa Taifa kutwa kucha kupigia makofi udhalimu.
Wewe wakulima na wafanyabiashara wanakuhusu? Wakati upo huko kwa mabeberu njoo uone tunavyoendelea vizuri na maisha murwa. Hapa kazi tu!
 
Jirani ndiyo matatizo ya kumkabidhi Nchi kichaa eti aiongoze!!!! Jiwe na kuongoza nchi wapi na wapi!!! Watanzaniapptunaojitambua hatukutegemea kuiona nchi yetu hapa ilipofikia kuzungumziwa vibaya kwenye nchi nyingi na wengi tulidhani Kikwete was worse kumbe tulikosea sana.

Ahaaa haaa haaa
katika watu ambao hawajui wanachokitaka ni wewe. nimefuatilia post zako za KIPINDI cha KIKWETE ilikuwa hivi hivi kulaumu, kushutumu na kulalamika.
 
Si eti tunaumia bali tunacheka full comedy alafu unasema makufuli amekuwa best President miaka miwili mfululizo ila mwaka huu wa comedy show amekuwa namba mbili, si by 2020 Utakuwa anacheza ligi moja na Joseph Kabila.
CIA walikua wanamdukua mpaka Angel Markel ambae hata hawahusu, itakua JPM kuwadukua mawaziri wake? Hamna exposure, hili ni jambo la kawaida sana hata kiongozi wa serikali atakaemshangaa JPM atakua kichaa kutokujua kwamba hadukuliwi,

Nyie hamumjui JPM, hapo kuna message amemtumia mtu inawezekana katika kudukua viongozi wake tofauti kuna messages kaziona kwa ki/viongozi fulani walikua na mawasiliano negative kuhusu JPM, kwa hiyo hapo ni kuwafikishia ujumbe kwamba am watching you.
 
Taahira mwingine wewe! Vilio vya Wakulima, Wafanyakazi na Wafanyabiashara juu ya dhuluma mbali mbali wanazofanyiwa na huyo dhalimu ZWAZWA wewe huzioni! Nchi kuwa na MAZWAZWA kama wewe ni hasara kubwa sana kwa Taifa kutwa kucha kupigia makofi udhalimu.

Sawa mimi zwazwa,unajisikiaje unapokumbuka kwamba unateseka mpaka 2025???

Pole bana ndio ukumbwa huo.
 
CIA walikua wanamdukua mpaka Angel Markel ambae hata hawahusu, itakua JPM kuwadukua mawaziri wake? Hamna exposure, hili ni jambo la kawaida sana hata kiongozi wa serikali atakaemshangaa JPM atakua kichaa kutokujua kwamba hadukuliwi,

Nyie hamumjui JPM, hapo kuna message amemtumia mtu inawezekana katika kudukua viongozi wake tofauti kuna messages kaziona kwa ki/viongozi fulani walikua na mawasiliano negative kuhusu JPM, kwa hiyo hapo ni kuwafikishia ujumbe kwamba am watching you.
Sawa sawa mjuaji .
 
Kwa akili yako fupi Mimi kuandika humu unadhani nateseka lakini huoni malalamiko mbali mbali ya Watanzania kuhusu udhalimu wa huyo dhalimu wenu. Iko siku akili yako itakaa sawa.

Sawa mimi zwazwa,unajisikiaje unapokumbuka kwamba unateseka mpaka 2025???

Pole bana ndio ukumbwa huo.
 
Watanzania wamefungua nyuzi humu wakilalamika kwanini Wakenya wanafuatilia rais Magufuli, ila nataka kuwaambia taarifa zinazotoka Tanzania za mambo anayoyasema rais wenu aisei ni za kipekee hadi inabidi afuatiliwe tu Afrika yote.

Kwa mfano nimeona tovuti ya Ghana ambapo humo kuna taarifa za Magufuli kukiri huwa anadukua simu za mawaziri wake na kuskliza wanapowasiliana, yaani hiyo kauli ni ya kipekee haijawahi kusemwa na rais yeyote hadharani maana hayo huwa mambo ya usalama wa taifa, sasa tunaposoma taarifa kama hizo kwa kweli lazima tufuatilie maana kama movie vile.
Hii hapa tovuti ya Ghana inayomjadili Tanzania’s President Spies on His Ministers and other Top Government Officials’ Phones

Ahaaa haaa haaa
aisee jamaa wanamfyagilia balaa. wanasema the President who is known in the world for zero tolerance in corruption.
Teh teh teh tihiii
nimecheka MPAKA mbavu zangu.
 
Back
Top Bottom