Rais Magufuli anafanya yale tulomtuma kufanya;Kelele za upinzani ni za mfa maji

jaruri

JF-Expert Member
Jul 16, 2014
716
459
Mwaka 2015 kulifanyika uchaguzi wa Rais,wabunge na madiwani.Kila chama kilinadi sera zake na kuptia sera hizo wananchi walichagua viongozi walio ona wanawafaa.
CHADEMA walimsimamisha Mheshimiwa Lowasaa ambae alishindwa vibaya sana na Dr Magufuli baada ya wananchi kupima sera za CHADEMA na mgombea wao na kuona hatoshi kuwa Rais.

Mara baada ya Rais kuingia madarakani kikukweli kafanya mambo yale haswaaa tulomtuma akatufanyie watanzania.Lakini siku zote binadamu huwa tuna tabia ya kutokubali kushindwa hata kama saababu za kushindwa kwetu tunazijua wazi wazi.Katika hali ya kuonesha uwepo wao wapinzani hasa CHADEMA wamekuwa wakipinga kila jema analolifanya Rais ili alimradi waonekane kuwa wapo,,,Hizi ndio kelele zinazo itwa za MFA MAJI.

Ukiangalia kundi linalo mpinga Rais ni watu wachache wanao nufaika na ruzuku ya vyama vyao,huku wananchi katika majimbo wanayo wakilisha wana muunga mkono mheshimiwa Rais.Rais anatekeleza ilani ya chama cha mapinduzi ambayo inyagusa maisha ya wananchi moja kwa moja kupitia elimu,afya,maji na miundo mbinu,wakati wapinzani wao wamekalia kukosoa kusiko kuwa na tija kwa taifa.
 
Mwaka 2015 kulifanyika uchaguzi wa Rais,wabunge na madiwani.Kila chama kilinadi sera zake na kuptia sera hizo wananchi walichagua viongozi walio ona wanawafaa.
CHADEMA walimsimamisha Mheshimiwa Lowasaa ambae alishindwa vibaya sana na Dr Magufuli baada ya wananchi kupima sera za CHADEMA na mgombea wao na kuona hatoshi kuwa Rais.

Mara baada ya Rais kuingia madarakani kikukweli kafanya mambo yale haswaaa tulomtuma akatufanyie watanzania.Lakini siku zote binadamu huwa tuna tabia ya kutokubali kushindwa hata kama saababu za kushindwa kwetu tunazijua wazi wazi.Katika hali ya kuonesha uwepo wao wapinzani hasa CHADEMA wamekuwa wakipinga kila jema analolifanya Rais ili alimradi waonekane kuwa wapo,,,Hizi ndio kelele zinazo itwa za MFA MAJI.

Ukiangalia kundi linalo mpinga Rais ni watu wachache wanao nufaika na ruzuku ya vyama vyao,huku wananchi katika majimbo wanayo wakilisha wana muunga mkono mheshimiwa Rais.Rais anatekeleza ilani ya chama cha mapinduzi ambayo inyagusa maisha ya wananchi moja kwa moja kupitia elimu,afya,maji na miundo mbinu,wakati wapinzani wao wamekalia kukosoa kusiko kuwa na tija kwa taifa.

Sote tunajua Uchaguzi ulishaisha.

Umesema "wanao mpinga Raisi", lakini Hujasema Kile Wanachompingia?
Ama kile kinachofanya wampinge..

Ni vyema ili bandiko lako liwe na mashiko zaidi ueleze kwa kinaga ubaga kile wanachopingia Raisi wako mteule...

Otherwise huu uzi utabaki kua sehemu ya blah blah kama zingine
 
Sawa mkuu umesikika , lakini je kuzuia Bunge live, kutokupandisha watumishi wa umma, kuzuia uhamisho na mengine ndyo tuliyomtuma?
 
Mleta mada kwanza huyo jamaa yako hakushinda!! Lakini hata kama, hatujamtuma kutuletea udikteta wa yeye na chama kuwa wao ndio wao. Pili haya mambo ya kushindwa kujibu hoja mnakimbilia AK 46 ni dalili ya uoga. Muambie asidhibiti vyama hataweza
 
Mkuu lile gari lililotumika kumshambulia Lissu limetajwa namba, je mmiliki wake katajwa? Unazungumziaje suala la kuongezewa muda toka miaka mitano mpaka 7?
 
Thread zingine bhana haya umeshafunga mahesabu ya wiki nenda kapokee malipo kwa polepole.
 
Mleta mada kwanza huyo jamaa yako hakushinda!! Lakini hata kama, hatujamtuma kutuletea udikteta wa yeye na chama kuwa wao ndio wao. Pili haya mambo ya kushindwa kujibu hoja mnakimbilia AK 46 ni dalili ya uoga. Muambie asidhibiti vyama hataweza
FB_IMG_1504503412971.jpg
 
Mleta mada kwanza huyo jamaa yako hakushinda!! Lakini hata kama, hatujamtuma kutuletea udikteta wa yeye na chama kuwa wao ndio wao. Pili haya mambo ya kushindwa kujibu hoja mnakimbilia AK 46 ni dalili ya uoga. Muambie asidhibiti vyama hataweza
Jamaa hakushinda! Tatizo lako ni kuropoka au ulikuwa kwenye tume ya uchaguzi.
 
Back
Top Bottom