cocochanel
Platinum Member
- Oct 6, 2007
- 26,758
- 73,414
Kazi kweli kweli kumtetea shetwain na kuwaaminisha binadam kuwa shetani ni malaika mzuri!
Mataga poleni sana, huyo jiwe kapoteza mwelekeo kabisa, ni roho mbaya, mbaguzi, katili, hata umtetee vp huwezi kuwashawishi Watanzania wampigie kura huyo mtusi kutoka nchi jirani
Mhujumu uchumi.. uliyoandika umejiandika.. uwache kusema Tanzanians.. utasubiri sana.. bado mutanyooshwa hadi mulie zaidi na zaidi.. Maendeleo ya nchi.. utendaji kazi wake na mengi mazuri.. tunayaona laivu..
Magufuli 2020