OKW BOBAN SUNZU
Platinum Member
- Aug 24, 2011
- 49,080
- 103,310
Nimepitia andiko la Dr. Mwele ambaye aliwahi kufukuzwa kazi na rais Magufuli. Huyu ni mtaalamu mahiri wa afya
Nikapitia andiko la dada anayesakamwa kwa sasa mrembo Dr. Nyambura. Nikafanya consultation kwa wataalam wengi mahiri wa afya kuhusu stori ya papai kupimwa corona. Nimejiridhisha kuwa watu hawa hawajaridhika na alichokifanya rais Magufuli. Hii ina madhara makubwa sana kama nchi. Magufuli anachakachua uzalendo wa wataalamu. Siwezi kusema kwamba hashauriwi vizuri ila naweza kusema hana time ya kutafuta ushauri.
Nimuombe tu apunguze jazba na ajenge umoja. Yeye ni rais atapita, lakini Tanzania itabaki. Alikuwepo Nyerere alipita, Kikwete amepita na kabaki stori. Tanzania itaendelea kuwepo.
Nikapitia andiko la dada anayesakamwa kwa sasa mrembo Dr. Nyambura. Nikafanya consultation kwa wataalam wengi mahiri wa afya kuhusu stori ya papai kupimwa corona. Nimejiridhisha kuwa watu hawa hawajaridhika na alichokifanya rais Magufuli. Hii ina madhara makubwa sana kama nchi. Magufuli anachakachua uzalendo wa wataalamu. Siwezi kusema kwamba hashauriwi vizuri ila naweza kusema hana time ya kutafuta ushauri.
Nimuombe tu apunguze jazba na ajenge umoja. Yeye ni rais atapita, lakini Tanzania itabaki. Alikuwepo Nyerere alipita, Kikwete amepita na kabaki stori. Tanzania itaendelea kuwepo.