Whitesmith
JF-Expert Member
- Aug 12, 2017
- 386
- 517
Niwazi kampeni zimeisha na Rais Dr. JPM amechukua ofisi kwa awamu ya pili, sasa kinachofuata ni utekelezaji wa Illani ya CCM.
Pamoja na ukweli kwamba ilani inayotekelezwa ni ya CCM lkn tumejifunza kuwa kuna mambo ambayo hayakuibuliwa ndani ya ilani ya CCM na yameibuliwa ndani ya ilani ya CHADEMA na mara nyingi yale ya msingi tulipata impact moja kwa moja kwa JPM naye kujaribu kuyajibu au kuyanakili(copy) kwa sababu kweli yanagusa maisha marefu ya taifa lolote.
Hivyo, jampo kampeni zimeisha Lissu bado hajaisha na anahehitaji kumtafuta zaidi nakumwelewa ni mimi na ww zaidi sana JPM, embu tuyatazame yafuatayo katika kumtafuta Lissu wa wakati wa Kampeni:
Kwanza; Aliahidi kufumua mfumo wa Elimu na kusuka upya
Hapa tunahitaji kupata mawazo yake alimaanisha nn katika elimu yetu na kunadosari zipi katika mfumo wa utoaji elimu. Naamini JF kuna wabobezi wengi wa masuala mbalimbali naombeni tulijadili kwa kwa maslahi ya nchi.
Pili, Bima ya Afya kwa wote
Lissu alimaanisha nini? Na angewezaje kulitekeleza hili? Na kama kweli hii ndiyo mifumo inayotumika hasa huku katika nchi za wenzetu na imeonesha mafanikio basi itakuwa vyema na sisi tukajifunza toka kwao kwa kuzingatia mazingira yetu,katika hili Lissu wa wakati wakampeni bado hajaisha.
Tatu: Mfumo wa Kodi
katika mifumo ya kodi aliainisha kodi ambazo hazina ustawi kwa wakulima wadogo na wafanya biashara akaahidi atazifuta.
JPM ana lakujifunza kwamba hivi huyu Lissu alimaanisha nn, au aliona nn. Na bila kodi hauwezi endesha nchi, Je huyu Lissu alikuwa na maana gani? Yaani tupate mawazo yake “idea” zake. Najua wataalam wa kodi na maswala ya biasha hapa JF wapo kama mlimwelewa Lissu tujadili hoja yake hii.
Ningependa kwa leo tumtafute Lissu wa kampeni katika hayo mambo matatu hapo juu maana ni msingi wa maendeleo ya nchi yeyote.
Elimu, Afya na Kazi
Pamoja na ukweli kwamba ilani inayotekelezwa ni ya CCM lkn tumejifunza kuwa kuna mambo ambayo hayakuibuliwa ndani ya ilani ya CCM na yameibuliwa ndani ya ilani ya CHADEMA na mara nyingi yale ya msingi tulipata impact moja kwa moja kwa JPM naye kujaribu kuyajibu au kuyanakili(copy) kwa sababu kweli yanagusa maisha marefu ya taifa lolote.
Hivyo, jampo kampeni zimeisha Lissu bado hajaisha na anahehitaji kumtafuta zaidi nakumwelewa ni mimi na ww zaidi sana JPM, embu tuyatazame yafuatayo katika kumtafuta Lissu wa wakati wa Kampeni:
Kwanza; Aliahidi kufumua mfumo wa Elimu na kusuka upya
Hapa tunahitaji kupata mawazo yake alimaanisha nn katika elimu yetu na kunadosari zipi katika mfumo wa utoaji elimu. Naamini JF kuna wabobezi wengi wa masuala mbalimbali naombeni tulijadili kwa kwa maslahi ya nchi.
Pili, Bima ya Afya kwa wote
Lissu alimaanisha nini? Na angewezaje kulitekeleza hili? Na kama kweli hii ndiyo mifumo inayotumika hasa huku katika nchi za wenzetu na imeonesha mafanikio basi itakuwa vyema na sisi tukajifunza toka kwao kwa kuzingatia mazingira yetu,katika hili Lissu wa wakati wakampeni bado hajaisha.
Tatu: Mfumo wa Kodi
katika mifumo ya kodi aliainisha kodi ambazo hazina ustawi kwa wakulima wadogo na wafanya biashara akaahidi atazifuta.
JPM ana lakujifunza kwamba hivi huyu Lissu alimaanisha nn, au aliona nn. Na bila kodi hauwezi endesha nchi, Je huyu Lissu alikuwa na maana gani? Yaani tupate mawazo yake “idea” zake. Najua wataalam wa kodi na maswala ya biasha hapa JF wapo kama mlimwelewa Lissu tujadili hoja yake hii.
Ningependa kwa leo tumtafute Lissu wa kampeni katika hayo mambo matatu hapo juu maana ni msingi wa maendeleo ya nchi yeyote.
Elimu, Afya na Kazi