Barbarosa
JF-Expert Member
- Apr 16, 2015
- 22,584
- 27,782
Rais Magufuli ni kama anafanya anachotaka bila ya bugudha yoyote ktk kwa Muzungu, kama kuna kitu ambacho sikutegemea Rais Magufuli kukifanya ni ujenzi wa Bwawa la Stiegler, hili nilijua shinikizo ktk kwa Muzungu lingekuwa kubwa kiasi kwamba isingewezekana, lkn Muzungu kimya nakumbuka Raisi wetu Kikwete alipojaribu kutaka barabara kukatiza Serengeti Muzungu alipiga kelele mpaka tuliahirisha.
Ukija kwenye Dhahabu tumempelekesha Muzungu mpaka Acacia kaachia, tulishika Makanikia bandarini mali ya Muzungu, lkn Muzungu kaufyata mpaka kaja mezani tukaongea, hili mwanzoni kuna watu waliogopa mpaka wengine wakaanza kusema sijui board members wa Barrick ni Dick Cheney na big names in US. Government hivyo tungefanyiziwa, wapi Muzungu kasarenda.
Upinzani na Tundu Lissu wanashinda kwa Muzungu kuchongea tuadhibiwe, mara vinachapishwa vibarua tunaletewa ktk Balozi za US, EU lkn vyote vinaishia kimyaa, na Rais Magufuli bado anapiga kazi hakuna kilichobadilika, uhusiano na International community siajabu haujawahi kuwa mzuri hivi pamoja na kutokijipendekeza.
Sasa ni kwa nini? Je, in bahati au Muzungu ana respect power labda, power respect power, who knows?
Ukija kwenye Dhahabu tumempelekesha Muzungu mpaka Acacia kaachia, tulishika Makanikia bandarini mali ya Muzungu, lkn Muzungu kaufyata mpaka kaja mezani tukaongea, hili mwanzoni kuna watu waliogopa mpaka wengine wakaanza kusema sijui board members wa Barrick ni Dick Cheney na big names in US. Government hivyo tungefanyiziwa, wapi Muzungu kasarenda.
Upinzani na Tundu Lissu wanashinda kwa Muzungu kuchongea tuadhibiwe, mara vinachapishwa vibarua tunaletewa ktk Balozi za US, EU lkn vyote vinaishia kimyaa, na Rais Magufuli bado anapiga kazi hakuna kilichobadilika, uhusiano na International community siajabu haujawahi kuwa mzuri hivi pamoja na kutokijipendekeza.
Sasa ni kwa nini? Je, in bahati au Muzungu ana respect power labda, power respect power, who knows?