johnthebaptist
JF-Expert Member
- May 27, 2014
- 82,750
- 139,549
Rais Magufuli amemualika Sultan mpya wa Oman kuitembelea Tanzania wakati wowote.
Salamu za Rais Magufuli zimetolewa na Waziri wa mambo ya nje Prof Kabudi aliyeko nchini Oman alikotumwa na Rais Magufuli kutoa salamu za pole kufuatia kifo cha Sultan wa nchi hiyo.
Source: Channel ten
Salamu za Rais Magufuli zimetolewa na Waziri wa mambo ya nje Prof Kabudi aliyeko nchini Oman alikotumwa na Rais Magufuli kutoa salamu za pole kufuatia kifo cha Sultan wa nchi hiyo.
Source: Channel ten