pole brah.sio wajingaTuache mawazo potofu.
Tukimuelewa Prezidaa tutagundua ni mtu wa watu.
Siyo labda! Hujui. Nyerere alipata wapi muda wa kutafsiri stori za Julius Caesar?unadhani uraisi ni kukusumbukia wewe tu!jamaa punguza roho mbaya dah!Anataka kuimbiwa wimbo au??Rais anapateje muda wa kusikiliza nyimbo wa Ney wa Mitego wakati nchi ina matatizo lukuki??Rais anaangalia shilawadu, jamani!!Nchi ya viwanda inajengwa kwa namna hii kwel??Labda sijui maana ya viwanda
AaaaahAnataka kuimbiwa wimbo au??Rais anapateje muda wa kusikiliza nyimbo wa Ney wa Mitego wakati nchi ina matatizo lukuki??Rais anaangalia shilawadu, jamani!!Nchi ya viwanda inajengwa kwa namna hii kwel??Labda sijui maana ya viwanda
Sijui ataenda??? Chanzo?????
Enzi ya Mwalimu angechapwa viboko na yeye mwenyewe ila wakati ule Ikulu ilikuwa sehemu takatifuingekuwa enzi za hitler leo angekatwa kichwa ikulu
Hongera mwenzetu umemuelewaTuache mawazo potofu.
Tukimuelewa Prezidaa tutagundua ni mtu wa watu.
Wivu huo sasa....Ni bora huyo msanii aukache huo mwaliko.
What is so special hadi Mkulu amwalike Ney wa Mitego Ikulu!?
Inabidi huyo msanii asiingie kichwa kichwa......
Kwa kuwa katika ule wimbo yapo madongo ambayo Mkulu amepigwa indirect na Mkulu ni mtu wa visasi.........
kwelNamshauri asiende...hofu yangu atapigwa slow poisona mtu mzima ataondoka taraaatiiiiibu kwenye kadunia ketu....akienda asinywe maji wala kahawa akigusa tu chali akili zinachanganyikana....atakuwa kama mzee flani hivi