Amteue na polepole
Eeh, mpinzani ni nani, kingunge?!kwani lipumba ni mpinzani ?
Unachanganya mambo kwa kuwa tu alikuwa na hiyo nafasi wakati wa Mwinyi nchi ikawa bado masikini haimaanishi kwamba yeye hana uwezo bali kuna mambo mengi sana, unajuaje labda mapendekezo yake yalikuwa yanapuuziwa sasa kama hilo lilitokea yeye angefanya nini?
Raisi Magufuli ni mtu makini hawezi kuchemka kijinga jinga namna hiyo kama kamteua ni lazima kuna hazina ameiona kwa Lipumba ambayo anataka kuitumia kwa manufaa ya nchi!
Breaking News.....Magufuli amemtangaza lipumba kuwa mshauri WA rais mambo ya uchumi Tanzania.....
Source, IT
Nimeipenda hii👆👆
Bado Dr Slaa....
Amerudi tena kwenye nafasi yake aliyokuwa nayo kwenye utawala wa Mh. Mwinyi
Eeh, mpinzani ni nani, kingunge?!