Kwani katiba inasema. Je mkuu? Nadhan hapa katiba inamruhusu kufanya hivyoRais awe anaacha vyeo vingine kamishana wa zimamoto avitangaze maana ni vyeo vya ndani.
Rais kuteua hadi watumishi wa ndani sasa boss wa taasisi yeye atafanya kazi gani?.
Katiba inamruhusu rais kuteua hadi mwalimu wa darasa maana yeye ndie muajiri mkuu.Kwani katiba inasema. Je mkuu? Nadhan hapa katiba inamruhusu kufanya hivyo
Sio Kweli Mzee.. prison wao ni kiwira mbeyaHata depo zao zinafanyika sehemu moja hakuna shida.
Sio Kweli Mzee.. prison wao ni kiwira mbeya
Na zima moto wao Wana jitegemea.
Kwa hiyo zima moto ni mtoto Wa magereza.Mkubwa, hao wote wanapiga depo moja kiwira.
SenyegeziSemwanza.......................... Sesukuma
Kwa cheo hicho ni Rais tu ndie anaeweza kuteua kwa mujibu wa katiba.Rais awe anaacha vyeo vingine kamishana wa zimamoto avitangaze maana ni vyeo vya ndani.
Rais kuteua hadi watumishi wa ndani sasa boss wa taasisi yeye atafanya kazi gani?.
Zimamoto na Magereza wote ni watoto wa Wizara ya mambo ya ndani.Kwa hiyo zima moto ni mtoto Wa magereza.
Wote wanafanya kiwira boss! Ni kama uhamiaji na polisi hakuna chuo cha zimamoto Tanzania!Sio Kweli Mzee.. prison wao ni kiwira mbeya
Na zima moto wao Wana jitegemea.
Ukonga ni chuo cha maofisa tu (in service) kiwira kinabeba depo mpaka mpaka maofisaNo zimamoto wanaoigia kuna chuo chao wanajenga Tanga!! Magereza ni Kiwira na Ukonga