MOTOCHINI
JF-Expert Member
- Jan 20, 2014
- 27,574
- 29,959
Kwani kitukipya hikiHiyo ndiyo tume ya uchaguzi ya Tanzania, tume inateuliwa na Mwenyekiti wa chama kimoja bila kuwashirikisha wenyeviti wa vyama vingine au bila kuitangaza hiyo nafasi ili wafanyiwe usaili wa haki
Mshinde Urais mteue naninyi
Kama vipi mtulie tu