Issuna
JF-Expert Member
- Sep 3, 2014
- 3,168
- 7,513
Kama watu hawaonekani unafkiri JPM atafanyaje mkuu? Huo n usajili mkuu Mechi si 2020 saivi tuko ktk usajili ulio makini.Staki kuamini kama ccm hamna mtu ila CV ya Slaaa sidhan kama yupo Mtu ambae yupo ccm ana CV ya dzaini hyo halafu yupo yupo tu mkuu??Coco wewe unampongeza lakini ccm inazidi kupata nyufa kubwa.. Kumbuka kuna maelfu ya wanachama n na viongozi waliokipigania chama kufa na kupona leo wameachwa na kuchukuliwa mapandikizi.... Najua hii yote ni kwa ajili ya kuikomoa CHADEMA lakini mchezo huo ni hatari kwa chama chako
Labda unipe mfano n kichwa gani kina madini ya slaa alaf kimekaa bila kazi CCM?? hamna mkuu kila mtu anakitengo chake na Kwa slaa napo hii lazima tukubali mkuu JPM kalamba JOKA,utakua ni ujinga kuacha mchezaji kama slaa akikosa TIMU wakati bado unajua bila wachezaji makini,Ushindi tutausikia bombani.
Sina tatizo na Baba Jesca...