Rais Magufuli amteua Brigedia Jenerali Charles Mbuge kuwa Mkuu wa JKT, aliyekuwepo apelekwa Mgambo

mgambo ni jeshi kubwa jamni lipo nchi nzima, nikiwa nafanya kazi Halmashauri huko Mbeya mshauri wa mgambo wa wilaya alikua Luteni Kanali
 
Ingekuwa Busungu ndo kapanda halafu Mbuge kashuka then upepo wa mjadala ungevuma tofauti kabisa na sasa.
wangesema kamuweka msukuma mwenzie ila sasa kamtoa msukuma story tofauti ila mimi naona poa haivutii mkuu wa majeshi na jkt wote wawe jamii moja ...pia .inawezekana kapelelekwa huko mgambo kuliimarisha jeshi hilo la akiba mambo yao wanayajua wenyewe sisi hapa ni ni speculation tu
 
Ni kweli ila all in all jamaa alifanya kazi nzuri sana katika majukumu yote machache aliyokua anapangiwa natena kwa muda mfupi
Hii inatia moyo hata kwa wengine,kuwa ukijituma kuna mtu wa kukuangalia na kuweza kukupa haki inayostahili kwa ufanyaji bora wa kazi,sio tu watu wanapandishwa vyeo kwa kujuana hii inakatisha tamaa sana,Big up Raisi wetu Magufuli...
 
Kumbuka aliyekuwa Inspector General wa Police miaka 90 Mahundi aliteuliwa kuwa IGP kutoka RPC Arusha na cheo cha SSP wakati kulikuwa na makamishna wakubwa makao makuu ya jeshi hilo. Kuteuliwa kwa mtu ni kutokana na utendaji wake mzuri
Ili uone ukubwa wa jeshi la polisi wakati huo, angalia SSP anakuwa RPC! Miaka ya 90 maofisa wa juu walikuwa wachache sana kulingana na ukubwa wajeshi la polisi. Hata JW nako ilikuwa hivyo, 1978 tunaingia vitani mkuu wa Majeshi alikuwa Major general tuu, na maofisa wa juu jeshini walikuwa mabrigedia na makanali tuu.
 
Huwa ni mmoja tu kwa jeshi zima?!
No mkuu wapo ata watano ila mmoja wapo ndio huteuliwa kuwa mnadhimu mkuuu na kwa uelewa wangu mm mdogo mnadhimu mkuu ambaye ndo lt jeneral ndio boss na mtendaji mkuu general ambaye ni mkuu hupelekew ripoti tu
 
Lakini pia mnatakiwa muelewe ya kwamba kabla Rais wa nchi hajamteua MTU yoyote yule ili ashike wadhifa wa juu kabisa namna hii, ni lazima kwanza upite mchakato Fulani wa mchujo pamoja na kufanya kwanza consultantations mbalimbali na watu wake wa karibu/washauri wake. Vile vile, ikumbukwe kuwa viongozi wote muda wote wako under constant and continious vetting, KWA hiyo siyo ajabu kuona kuwa MTU wa seniority ya chini akapanda au kuteuliwa kwenye cheo cha juu zaidi, NA yule mwenye seniority ya juu akaachwa. Huwezi kujua ameachwa KWA sababu gani, yawezekana pengine kwenye vetting ameonekana kuwa na dosari, you never know!!
 
Lieutenant General ni wangapi Tanzania.. Maana nasikiaga tu Major General, ila Lt. General sijawasikia na ni cheo kikubwa, kutoka Major General unaenda Lt. General alafu unaenda General..!!
 
Hii inatia moyo hata kwa wengine,kuwa ukijituma kuna mtu wa kukuangalia na kuweza kukupa haki inayostahili kwa ufanyaji bora wa kazi,sio tu watu wanapandishwa vyeo kwa kujuana hii inakatisha tamaa sana,Big up Raisi wetu Magufuli...

Kweli mkuu hata yule mkuu wa wilaya aliyeharibu shamba la mbowe fasta tu akawa Rc,yule hakimu wa case ya Sugu nae alipandishwa chap chap.

Nadhani hao walifanya kazi inayostahili mkuu.
 
Nafasi za uteuzi mkuu ni hatari sana inakufanya uwe mtumwa na unyenyekevu balaaa! Unaweza kuta alionyesha msimamo kidogo akaonekana hafai!! Au alifanya kosa kidogo tuu akaliwa kichwa
Jeshi linakutaka hivyo, ndio siri ya wao kuheshimiwa na kuweza ongoza Askal.

Nidhamu na utii wa hali ya juu.
 
mgambo ni jeshi kubwa jamni lipo nchi nzima, nikiwa nafanya kazi Halmashauri huko Mbeya mshauri wa mgambo wa wilaya alikua Luteni Kanali
sema upendavyo ila hiyo ni bonge la Demotion.
Kabla ya huyu Msukuma anayetoka JKT, aliyekuwa akiongoza ni Mgambo ni Luten Kanali.
 
Huyu kuna tetesi ni mtutsi...anaejua historia yake atuwekee tumfahamu vizuri tusije kujiingiza kwenye matatizo yanayompata mzee m7 na uganda yake dhidi ya rwanda
1568311723185.png
 
Back
Top Bottom