Rais Magufuli amteua Brigedia Jenerali Charles Mbuge kuwa Mkuu wa JKT, aliyekuwepo apelekwa Mgambo

Nafasi za uteuzi mkuu ni hatari sana inakufanya uwe mtumwa na unyenyekevu balaaa! Unaweza kuta alionyesha msimamo kidogo akaonekana hafai!! Au alifanya kosa kidogo tuu akaliwa kichwa
Kigwangala ni mfano hai
 
Busungu aliyeuliwa kushika wadhifa wa juu ndani ya JKT, Februari 16 mwaka 2018 alichukua nafasi ya Meja Jenerali Michael Isamuhyo ambaye alistaafu.
Angalieni maandishi yenu kabla na baada ya kuweka bandiko. Hasa mnapoelezea vitu 'sensitive'
 
Vikundi vya JKT vya kwaya havijatunga nyimbo za kusifu! Chunguza utalijua hilo. Na ni kosa kubwa sana, muulize Nape

Vikundi vya JKT vya kwaya havijatunga nyimbo za kusifu! Chunguza utalijua hilo. Na ni kosa kubwa sana, muulize Nape
Afande Mbughe ni mtu wa hamasa, anapenda sana vikundi vya muziki na kazi. Hajakaa sana Kibattle. Wale waliopita kwenye mikono yake enzi za Ruvu jkt watakuwa wanalijua hilo. Kipaumbele chake yeye ni kazi tuu hata kama mazoezi mpo shallow. Nilikuwa napenda tabia yake ya Kupenda kuja kucheza Disco la jeshi na Makuruta. Anafaa sana, Mungu azidi kumuinua.
 
Back
Top Bottom