kidadari
JF-Expert Member
- Jul 26, 2012
- 8,647
- 9,574
Muda mwingine ukionyesha msimamo tuu hata kama upo sahihi unaonekana mkaidi... So inahitaji moyo.Inawezekana ni jambo dogo tu amefanya. Hizi nafasi za uteuzi wakati mwingine zinategemea damu za mteauji na mteuliwa zinavyoiviana. Mbona Makonda anafanya madudu lakini yupo tu!