myoyambendi
JF-Expert Member
- Sep 13, 2013
- 146,879
- 652,681
Rais anamteua mtu anaemtaka. Pia anaweza kumbadilishia kazi mtendaji wake .Wasomi wamemtaka Magufuli ataje kwa uwazi sababu zilizofanya amfurumushe Balazi Sefue ikulu tena wikend.Wasomi wamesisitiza watumishi wote wanaotumbuliwa wajibu sababu zinawekwa wazi kwa nini majibu ya Sefue yanafichwa?Balozi aliondolewa ukatibu mkuu kiongozi jana jumapili na atapangiwa kazi nyingine.