Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ni kweli hatutaki maelezo, Kama machine hazifanyi kazi akitoa maelezo ndio zitafanya kazi?! The damage has been done hivyo lazima mtu atolewe kafara kutuliza mizimu ya wagonjwa waliofariki kwa kukosa huduma hiyo!
Huu ni upuuzi mwingine. Hivi taratibu za kumfukuza kazi zimefuatwa? Bajeti je? Utawala bora na demokrasia vinafika mwisho
stay tunes!!!
Amempa fursa ya kujieleza? Ikitokea kuwa serikali ndio haikupeleka fungu, atamrudisha kazini? Utawala bora hauko hivyo.
Tatizo letu Watz ni kufurahia mwingine kuguswa na misukosuko. Kamwachisha kazi, yeye ndiye kamwajiri?? Mkurugenzi huyo ana haki zake chungu nzima, unamwachisha tu ka Hg!!! Haya tungojee. Alisimamisha Makandarasi wangapi wa barabara bila mjadala. Wakamshinda mahakamani ka mtoto. Akalipa mihela ya kufa mtu. Hasara kwa taifa. Aliizuia meli ya Mvietnam, na samaki zake akagawa bure watu wale. Ati nitawashinda mahakamani. Amelipa meli mpya na samaki wapya kwa Dollar mpya za kimarekani. Hasara kuu kwa taifa.
Haya yoote, mlimsifia. Sitamsema vibaya rais wangu ila, Uongozi bora si hivyo. Yeye ni kiongozi, awaongoze wanaoongoza wafanye kazi ya viwango si kutimuana bila mpangilio. Ila kwa vile huwa hatuambiwi, mngekuja kutujuvya atakacho lipwa huyu mhusika baada ya kumbwaga mahakamani.
Watu hawana akili, hospitali ijiendeshe kibiashara kama agakani watu masikini watapataje huduma?Muhimbili ikijiendesha kibiashara mimi na wewe au bibi angu kule kijijini hawataweza pata huduma za msingi. Nadhani unajua maana ya public services.
Anyway, umeeleweka mkuu, a word of advise usiwe na mihemuko kwenye post. Take your time and do your home work.
Raisi wa JMTZ yuko juu ya sheria na hashitakiwi wala kuhojiwa na uamuzi wake haupingwi na takataka yoyote ile ndani ya TanZania, hivyo mambo yako ya samaki peleka kwenu!
Jazba na mihemko haiwezi kumaliza shida za Muhimbili mjomba , mapovu hayatasaidia kitu , nakuombea uishi zaidi uje uelewe ninachokuambia .
Alisema cha kwanza ni mahakama special kwa mafisadi.Twataka kuziona.Mahakama za kazi kesi zitakuwa nyingi sana,na huenda watuhumia wakashinda kesi nyingi tukapata hasara zaidi
hii imekaa vibaya
Huyo ndio Raisi, Lowassa angeyawezea wapi haya?