johnthebaptist
JF-Expert Member
- May 27, 2014
- 83,532
- 141,334
Rais Magufuli amemsamehe kaimu Mkurugenzi wa Halmashauri ya Rufiji bwana Kilimba aliyetoa taarifa za uwongo kwa mheshimiwa Rais kwamba gari la wagonjwa ni bovu.
RPC wa Pwani amesema utaratibu wa kumfikisha mahakamani mkurugenzi huyo ulishakamilika ila bwana Kilimba amepata bahati ya mtende ya kusamehewa na Rais Magufuli mwenyewe.
Chanzo: ITV habari.
2020 Hakunaga kama Dkt. Magufuli!
RPC wa Pwani amesema utaratibu wa kumfikisha mahakamani mkurugenzi huyo ulishakamilika ila bwana Kilimba amepata bahati ya mtende ya kusamehewa na Rais Magufuli mwenyewe.
Chanzo: ITV habari.
2020 Hakunaga kama Dkt. Magufuli!