Rais Magufuli amsaidia Mzee mstaafu aliyepunjwa mafao na kulalamika kupitia gazeti

barafu

JF-Expert Member
Apr 28, 2013
6,726
32,816
image.jpeg
 
Serikali ni nani na hao waliokuwa wanamdhulumu ni kina nani? Ni wangapi kama Bwana Uledi ambao malamamiko yao hayajapata nafasi ya kusambaa kwenye mitandao ya kijamii? Tuanzie hapo
 
Serikali ni nani na hao waliokuwa wanamdhulumu ni kina nani? Ni wangapi kama Bwana Uledi ambao malamamiko yao hayajapata nafasi ya kusambaa kwenye mitandao ya kijamii? Tuanzie hapo
Nadhani kilichofanyika ni jambo jema na tukio hili la bwana Uledi litawapa mwanga na wengine wenye tatizo kama lake kujuwa ni wapi waanzie.

Pili, hili linakuwa fundisho kwa watumishi wanaosumbua wastaafu, kwani itakuwa ajabu huko mbeleni wakajitokeza watu kama Uledi wakiendelea kuzungushwa na stahiki zao.
 
Na Mimi ambaye nimedhulumiwa kupandishwa daraja mpaka sasa hivi nafanyaje? Sisi tunaolilia mapunjo yetu ya mishahara tunafanyaje? Si ndo haya yatakayotukuta huko mbeleni? Serikali la kusubiri matukio hili hakuna kitu hapo!! Tunahitaji kupandishiwa mishahara yetu bwana!
 
Raisi wa masikini ndo kafuta waajiriwa halali na kutunyima increment mwaka mzima now
 
Kutafuta kiki tu,hivi kuna wazee wangapi wanohangaikia staki zao kwenye mifuko ya hifadhi ya jamii,,wamasaidiwa vipi
 
Nadhani kilichofanyika ni jambo jema na tukio hili la bwana Uledi litawapa mwanga na wengine wenye tatizo kama lake kujuwa ni wapi waanzie.

Pili, hili linakuwa fundisho kwa watumishi wanaosumbua wastaafu, kwani itakuwa ajabu huko mbeleni wakajitokeza watu kama Uledi wakiendelea kuzungushwa na stahiki zao.
Una maana nao mpaka waandike magazetini?kwann usipatikane ufumbuzi kwa wote?
 
Chaggadomo napo watalaumu subiri uone...utasikia oooh mbona wako wengi..swali mlitaka huyo aachwe?
Magufuli wewe ni chaguo la Mungu kelele za jf zisikutishe ..
Wewe piga kazi ikifika uchaguzi sisi tunachinja tuu...wala hatuitaji kelele....
 
5 Reactions
Reply
Back
Top Bottom