Tajiri Tanzanite
JF-Expert Member
- Oct 23, 2016
- 2,070
- 3,705
Amecheza mchezo wa kidiplomasia vizuri,naona hovi vikwanzo vilivyowekewa Tanzania na serikali ya Trump vinkwenda kuwa Temporary.
Acha kuhangaika na mambo ambayo huna faida nayo ,,Unafiki mkubwa! Unafurahia ushindi wa mwenzako kutokana na uchaguzi uliofanyika, kwako hutaki kufanya uchaguzi, unafanya maigizo kuhalalisha udikteta....
Nani amemwandikia .View attachment 1623842
Namnukuu
On behalf of the Government and the people of Tanzania, I congratulate President-elect
@JoeBiden
and Vice President-elect
@KamalaHarris
on your victory in the US General Election. Be assured that Tanzania will continue to cherish the relationship that exist between our countries...
Ndiyo ujue tume yao iko huru . Ingekuwa hapa jambo Rais halipendi na kulituhumu. IngekuwaJe ??!!!.Huko ubeberuni Madai ya kura feki na mawakala kutolewa nje yametolewa na Rais kabisa
Uliandamana?Aende kujifunza wanavyofanya uchaguzi wao, sio kupongeza tu.
Kule hawatumii mabegi meusi.
Kama haya ya kwenu ni malalamiko tu pia. Hivi manyumbu mna nini?Yale ni malalamiko tu.
Unajua hata kiswahili?"Pogenza" ndiyo kitu zip???
... Kumbe mtandao wa Internet umefunguliwa au na Jiwe anatumia VPN ... ???View attachment 1623842
Namnukuu
On behalf of the Government and the people of Tanzania, I congratulate President-elect
@JoeBiden
and Vice President-elect
@KamalaHarris
on your victory in the US General Election. Be assured that Tanzania will continue to cherish the relationship that exist between our countries...
Weka hapa inasemajeFuatilia Twita ya JB ndipo uzungumze!
HahahaahMagufuli ametumia nguvu nyingi kuandika kiingereza
Hio tweet sio yake, itakuwa kabudi kamuandikia
Loh! Sikujua! Faida pekee ya kufanya uchaguzi na wapinzani wa Tanzania ni kuongeza misamiati kwenye "leu-gar ye-two" ya "Tar-e-far." Thanks sana!!!Unajua hata kiswahili?
UtajibebaLoh! Sikujua! Faida pekee ya kufanya uchaguzi na wapinzani wa Tanzania ni kuongeza misamiati kwenye "leu-gar ye-two" ya "Tar-e-far." Thanks sana!!!
Hao akina Pompeo wasingemsapoti huyu Mr Mzungu kwenye uchaguzi wetu huu, basi Trump angeshinda uchaguzi US. Yamewarudia wenyewe!Ngoja ampongeze,
Uzuri Mike Pompeo kasema Wataachia madaraka baada ya muhula wa pili wa Trump kuisha.
Hizi nchi zilizojifanya kumpongeza Biden, na uzur hapa kwetu wameiba kura kama walivyomuibia Trump..
mbona Watakubali shoooo
Kwa kweli Jiwe anachukiwa na watanzania wengi, na alipojipa ushindi fek yaani kama ndiyo kaaribu kila kituUnajifanya unamchukia JPM ila hukosi kupost mambo yake . mnatabu sana hapa duniani
Ni wastaarabu na sio wahuni kama wa chademaHuko hatujaona mabegi ya kura feki wala mawakala wa upinzani wakitolewa nje.
Pia, huyo sio raisi mteule kwa kura feki.
Na huko tunaona wenzetu wana haki ya kwenda mahakamani kupinga matokeo.
Kwasababu hiyo tume haiundwi na Rais kama huko kwenuKweli wewe utakuwa unaishi nchi na Dunia ya kisadikika.
Mpaka Trump alitangaza hana imani na Tume ya uchaguzi wa Marekani