Duuu, ndiyo wamekuwa hivyo siku hizi?Siku hizi huku Jf ni kawaida sana unakuta uzi una replies 200 ukija kuufungua unakuta una replies70. Upo uzi mmoja juzi ulivunja records kwa replies 300 kufutwa.
Mdogo mdogo naona huu unaenda na kurudi kama daladala maana na mimi niliweka kakomenti kangu pendwa hapa naona mods wamekanyakua fastaaa.