Rais Magufuli ampokea Rais wa Chad kwa ziara ya kikazi

MsemajiUkweli

JF-Expert Member
Jul 5, 2012
13,171
23,975
Rais wa Chad, Idriss Déby awasili nchini kwa ziara ya siku mbili ya kikazi. Rais Deby amepokelewa na mwenyeji wake Rais John Magufuli.

Ikumbukwe kuna tofauti kati ya ziara ya kikazi na ziara ya kiserikali.

Ziara ya kiserikali ni pale Rais wa nchi anapomkaribisha Rais wa nchi nyingine kwa mazungumzo ya kiserikali huku gharama zake zikilipwa na serikali iliyomkaribisha. Dhifa ya taifa hufanyika, wimbo wa taifa huimbwa na mizinga hupigwa.

Ziara ya kikazi mara nyingi Rais anayekuja huwa ameomba kuja au kwa maana nyingine amejikaribisha mwenyewe kwa ajili ya mazungumzo ya kiserikali na gharama za safari anajilipia yeye mwenyewe. Hakuna dhifa ya kitaifa au kupigiwa mizinga.
CyRQhSbXgAAxsnL.jpg

CyRQhSbXgAAxsnL.jpg

CyRQhYWXgAA7cwk.jpg
 
On behalf of myself and all Christian of Tanzania......

Baba saidia baba hata kakanisa tu......
 
Amekuja Pikiniki Chad ina nini? Hakuna kitu kitasainiwa hapo!
kaja kwa mazungumzo, JPM naomaba washauriane mambo yafuatayo,
1. kuanzishwa kwa usafiri wa ndege Dar Chad,
2. kufunguliwa kwa tawi la crdb chad
3. wafanyabishara wa tz kusaka fursa za uwekezaji chad, tunaweza uza soda bia mvinyo, unga wa azam
4. uwezekano wa bidhaa za chad kupitia bandali ya dar
 
kaja kwa mazungumzo, JPM naomaba washauriane mambo yafuatayo,
1. kuanzishwa kwa usafiri wa ndege Dar Chad,
2. kufunguliwa kwa tawi la crdb chad
3. wafanyabishara wa tz kusaka fursa za uwekezaji chad, tunaweza uza soda bia mvinyo, unga wa azam
4. uwezekano wa bidhaa za chad kupitia bandali ya dar
Hao wawekezaji wa kitanzania mbona hata hapa bado sana? Wakenya wengi kama ni nini
 
Rais wa Chad, Idriss Déby awasili nchini kwa ziara ya siku mbili ya kikazi. Rais Deby amepokelewa na mwenyeji wake Rais John Magufuli.

Ikumbukwe kuna tofauti kati ya ziara ya kikazi na ziara ya kiserikali.

Ziara ya kiserikali ni pale Rais wa nchi anapomkaribisha Rais wa nchi nyingine kwa mazungumzo ya kiserikali huku gharama zake zikilipwa na serikali iliyomkaribisha. Dhifa ya taifa hufanyika, wimbo wa taifa huimbwa na mizinga hupigwa.

Ziara ya kikazi mara nyingi Rais anayekuja huwa ameomba kuja au kwa maana nyingine amejikaribisha mwenyewe kwa ajili ya mazungumzo ya kiserikali na gharama za safari anajilipia yeye mwenyewe. Hakuna dhifa ya kitaifa au kupigiwa mizinga.
CyRQhSbXgAAxsnL.jpg

CyRQhSbXgAAxsnL.jpg

CyRQhYWXgAA7cwk.jpg


Asante kwa Elimu, ubarikiwe, nilikuwa siifahamu hiyo tofauti!
 
Back
Top Bottom