johnthebaptist
JF-Expert Member
- May 27, 2014
- 83,898
- 141,829
Rais Magufuli amekubali ombi la RC Makonda kwenda Cairo Misri kuiongezea hamasa Taifa stars.
Dr Magufuli amewataka wachezaji wa timu ya taifa kutokatishwa tamaa na matokeo ya juzi dhidi ya Senegal kwani walicheza na timu namba moja kwa ubora barani Afrika.
Source TBC
My take; Nakubaliana na Rais Magufuli kuwatia moyo wachezaji tofauti na wale akina Nkamia wanaomkejeli Jemedari katikati ya vita!
Dr Magufuli amewataka wachezaji wa timu ya taifa kutokatishwa tamaa na matokeo ya juzi dhidi ya Senegal kwani walicheza na timu namba moja kwa ubora barani Afrika.
Source TBC
My take; Nakubaliana na Rais Magufuli kuwatia moyo wachezaji tofauti na wale akina Nkamia wanaomkejeli Jemedari katikati ya vita!