Rais Magufuli amnyooshea kidole Mwele Malecela asema alitumiwa na mabeberu kutangaza ugonjwa 'hewa' wa Zika

Mzee anaingilia bunge, Mahakama, Mamlaka za nidhamu za wanafunzi na sasa naona anaingilia hadi mambo ya kitabibu

Kuna haja ya kuandaa Muongozo wa Job discription ya uraisi, kuna watu wanadhani ukiwa raisi basi unaweza kuingilia ofisi yoyote ile na kudischarge duty
Anza wewe kuiandika utuwekee hapa kazi ya rais. Ila uwe na katiba pembeni
 
Kwa hiyo unafuta kauli ya Rais muwekezaji ktk miradi isiyo na return, kutoa "Elimu ya hovyo kupata kutokea"?
Na unaamini Elimu bora inaweza kutolewa bila ya ujenzi wa miundo mbinu niliyotaja ili kuweka mazigira mazuri kumuwezesha mwanafunzi kujifunzia na kuongeza idadi ya waalimu wa kutosha?
Hata hivyo haya hapa majibu yake kwa miradi unayodai haina returns:


Sijafuta kauli yeyote. Na kwa uelewa na uzoefu wangu kuhusu biashara na fedha sihitaji mtu kunipa majibu ili nijue kuwa hii project ina returns au la. Numbers don't lie. Public entities zote kisheria zinapaswa kutangaza hadharani audited financial statements zao, aje mtu hapa aniambie returns zinazohusiana na moja kati "iconic" projects za Magufuli kati ya 2016 hadi leo hii ni ipi? ATCL mara ya mwisho walitangaza unaudited financial statements zao 2014, leo hii nani anajua wanachofanya in terms of financial performance?
Hayo mengine ni empty rhetorics kama alivyopata kusema nchi ina pesa nyingi kiasi cha kutoa misaada kwa nchi nyingine na pia kuwa atafufua viwanda vya nguo ili tuwauzie mitumba wazungu. Kipi kimefanyika hadi leo?
 
Hawa tunaowaita " Mabeberu" wana mchango mkubwa sana kwenye achievements karibu zote kwenye sekta ya Afya zinazozungumzwa kwenye majukwaa ya kisiasa Tanzania. Mfano, Ni kwenye malaria ,vifo vya kina mama wakati wa kujifungua ,na HIV/AIDS .. Interventions karibu zote zinafadhiliwa na Hawa jamaa..

Ikumbukwe vizuri wakati wa kampeni za Trump kuingia madarakani USA,aligusia kupunguza kiasi Cha fedha zinazotolewa na USA kwenye ufadhili wa ARVs, wadau wa ukimwi Afrika wakaanza kuhaha,sababu kama Hilo lingetekelezwa majority ya waathirika wa HIV wasingeweza kumudu kununua ARVs achilia mbali hata nchi zenyewe kununulia wananchi wake...

Kuna upotoshaji mwingi kwenye baadhi ya vitu pengine sababu watanzania wengi si wafwatiliaji wa mambo hivyo Ni rahisi kutoa statement yoyote halafu ukashangiliwa
You are quite right WaTanzania siyo watu wa kusoma na kudadisi. Wakiambiwa mabeberu tayari wanadhani tunaibiwa madini. Kwenye sekta ya afya uwezo wa Tanzania ni kulipa mishahara ya watumishi wa wizara, kununua dawa muhimu (ambazo hazitoshi) na kujenga vituo vya afya. Mengineyo yote kama tiba za HIV/AIDS, Malaria, Tuberculosis, Chanjo za watoto, uzazi wa mpango nk zote zinatoka kwa wafadhili.

80% ya magari ya Wizara ya afya yanayosimamia utekelezaji wa tiba inatoka kwa hao wanaoitwa mabeberu.

Nchi inahangaika kupata USD 9.5 Milioni kwa ajili ya kupambana na Ebola na imaomba WHO na USAID. Shame watu hawajui
 
Akielezea ni kwa namna gani humpelekea kufanya kazi hadi usiku Rais Magufuli amesema katika vita hasa ya kiuchumi adui mbaya zaidi hutoka ndani kwa maana ndiye huwa kiungo wa maadui wa nje.

Ametolea mfano wa aliyekuwa Mkurugenzi wa NIMR TANZANIA Bi Mwele Malecela alilazimika kumfuta kazi baada ya yeye kutoa taarifa za uongo kwamba wakati ule kulikuwa na ugonjwa wa Zika ilhali haikuwa kweli.'Je huo ugonjwa wa Zika ulionekana tena!?'alihoji Mheshimiwa Rais!

Amesema hali hiyo ya Mwele kuutangazia uongo Ulimwengu kuhusu uwepo wa zika Nchini Tanzania ilimkwaza sana na dhahili alionekana kutumiwa na washindani wa vita ya kiuchumi na Nchi yetu.

'Na ndiyo maana baada ya kumfuta kazi wiki moja baadae waliomtumia walimpa kibarua kingine'alisema Mheshimiwa Rais.
Word.
IMG-20191005-WA0012.jpeg
 
Sijafuta kauli yeyote. Na kwa uelewa na uzoefu wangu kuhusu biashara na fedha sihitaji mtu kunipa majibu ili nijue kuwa hii project ina returns au la. Numbers don't lie. Public entities zote kisheria zinapaswa kutangaza hadharani audited financial statements zao, aje mtu hapa aniambie returns zinazohusiana na moja kati "iconic" projects za Magufuli kati ya 2016 hadi leo hii ni ipi? ATCL mara ya mwisho walitangaza unaudited financial statements zao 2014, leo hii nani anajua wanachofanya in terms of financial performance?
Hayo mengine ni empty rhetorics kama alivyopata kusema nchi ina pesa nyingi kiasi cha kutoa misaada kwa nchi nyingine na pia kuwa atafufua viwanda vya nguo ili tuwauzie mitumba wazungu. Kipi kimefanyika hadi leo?
Ndio mnaponishangaza nyie wachumi wa nchi hii. Shirika lililokuwa na madeni lukuki limepata Ndege juzi mnataka kuona return leo. Hata wakitoa taarifa za kupungua kwa deni mnabeza. Ujenzi wa miundombinu ya usafiri, Meli, reli, na nishati haijakamilika mnataka kuona return leo, Kila kilichofanyika ktk kuboresha huduma za Afya, Elimu, ufugaji, nishati hakionekani mnataka taarifa rasmi za kwenye makaratasi, tena zisiwe za serikali ila zitolewe na Zitto. Ndiyo maana tumefikia mahali pa kusema ELIMU YETU NI YA HOVYO.
 
Kiukweli Zika haikuwepo na Mwele alisema uongo!
Mkuu are you sure? Small headed individuals with psychiatric personalities or behaviors have been in our communities for a long time? Nobody has proven its cause scientifically! I have been in Sumbawanga some years ago, to the best of my knowledge I could suspect such conditions to be there !
Our presdent might be right as well, but this should be scientifically proven beyond doubt.
 
Tusijadili kwa hisia, magu ana mapungu take, lakini UN/WHO wana missions zao ovu,
hakuna Ebola, dengue wala zika, kama zipo zinadhibitika, tunatengenezewa mazingira watu wapige hela tu.

Siku nilipojua kuwa UNHCR huwa wanasupply siraha kwa makundi hasimu. Nilichoka,
 
Tusijadili kwa hisia, magu ana mapungu take, lakini UN/WHO wana missions zao ovu,
hakuna Ebola, dengue wala zika, kama zipo zinadhibitika, tunatengenezewa mazingira watu wapige hela tu.

Siku nilipojua kuwa UNHCR huwa wanasupply siraha kwa makundi hasimu. Nilichoka,
Mkuu, tupe mbinu za kuwakwepa ili tukae kivyetu bila kuwategemea kwa lolote lile.
 
Huwa najiuliza mengi nikona kwenye media kubwa za "mabeberu" kuwa huko kwao wazazi huwa wanagoma watoto wao kupewa chanjo za surua, polio nk,na hakuna wa kuwalazisha wakati kuku kwetu wazazi hata kupewa nafasi ya kuhoji hizo chanjo hakuna...tunaswagwa tu!
Daah alafu kweli mkuu kwanini hili jambo kwetu hata watu hawahoji au madaktari hawasemi chochote?
 
Kuna watu waliniambia kuwa huyu mzee anapiga sana bangi na ndiyo maana hata Msukuma anaiongelea. Nashawishika kuamini maneno yao maana siyo kwa roporopo hizi tunazoziona.
 
Kuna comment nyingine ukizisoma zinashangaza sana..nadhani kuna wageni wengi walio ndani ya mipaka yetu..mwele anabahati labda kwa sababu ana jina la mstaafu..ile adhabu haikumtosha...ilikuwa ndogo mno.
jinga ww, hapo ulipo una dhiki had makalioni, uyo Mwele Kwaní amefanya baya lipi??? Kamtusi mungu wenu
 
Akielezea ni kwa namna gani humpelekea kufanya kazi hadi usiku Rais Magufuli amesema katika vita hasa ya kiuchumi adui mbaya zaidi hutoka ndani kwa maana ndiye huwa kiungo wa maadui wa nje.

Ametolea mfano wa aliyekuwa Mkurugenzi wa NIMR TANZANIA Bi Mwele Malecela alilazimika kumfuta kazi baada ya yeye kutoa taarifa za uongo kwamba wakati ule kulikuwa na ugonjwa wa Zika ilhali haikuwa kweli.'Je huo ugonjwa wa Zika ulionekana tena!?'alihoji Mheshimiwa Rais!

Amesema hali hiyo ya Mwele kuutangazia uongo Ulimwengu kuhusu uwepo wa zika Nchini Tanzania ilimkwaza sana na dhahili alionekana kutumiwa na washindani wa vita ya kiuchumi na Nchi yetu.

'Na ndiyo maana baada ya kumfuta kazi wiki moja baadae waliomtumia walimpa kibarua kingine'alisema Mheshimiwa Rais.

Mwele, alisema, wanafanyia uchunguzi wa habari za uwepo wa ZIKA TANZANIA.

SIYO KUNA ZIKA TANZANIA
 
Akielezea ni kwa namna gani humpelekea kufanya kazi hadi usiku Rais Magufuli amesema katika vita hasa ya kiuchumi adui mbaya zaidi hutoka ndani kwa maana ndiye huwa kiungo wa maadui wa nje.

Ametolea mfano wa aliyekuwa Mkurugenzi wa NIMR TANZANIA Bi Mwele Malecela alilazimika kumfuta kazi baada ya yeye kutoa taarifa za uongo kwamba wakati ule kulikuwa na ugonjwa wa Zika ilhali haikuwa kweli.'Je huo ugonjwa wa Zika ulionekana tena!?'alihoji Mheshimiwa Rais!

Amesema hali hiyo ya Mwele kuutangazia uongo Ulimwengu kuhusu uwepo wa zika Nchini Tanzania ilimkwaza sana na dhahili alionekana kutumiwa na washindani wa vita ya kiuchumi na Nchi yetu.

'Na ndiyo maana baada ya kumfuta kazi wiki moja baadae waliomtumia walimpa kibarua kingine'alisema Mheshimiwa Rais.



Mzee John Makecela,

umesikia tuhuma za binti yako?

Mzee, unafaidikaje na USOMI WA BINTI YAKO?

JE, NI KWELI ANATUMIWA NA MABEBERU?
 
Back
Top Bottom