Uchaguzi 2020 Rais Magufuli amnadi Patrobas Katambi, aahidi kumpa kazi nyingine Stephen Masele

Hapo ndo mjue Rais Magufuli ni genius, unaweza ukazani kamsahau mtu ama kamuonea kumbe anampango naye mwingine mkubwa, mfano ni huyo Steven Masele.

Ambaye anaweza kuwa balozi kuwakilisha nchi kwenye taifa jingine, ama SADC, AU, na UN.
Acha upuuzi mkishiba maharagwe mnywe maji
 
Huyo ndio rais wako
Sijawahi mchagua,na sito Ni sawa na kuikosea nafsi yangu na kumkufuru Mungu,kukiuka hio nadhiri Ni sawa na kuhalalisha mtz mwenzangu kuuwawa,kusomeshwa namba,kubambikwa kesi,kufa na njaa,kubomolewa nyumba yake,ung'ang'anizi wa madaraka.
 
Akihutubia wakazi wa Tinde huko Shinyanga, mgombea Urais wa Tanzania kupitia CCM amesisitiza wananchi kutomchagulia wagombea wa Vyama vya Upinzani hata kama wanafaa. Amedai kuwa wamchagulie madiwani na wabunge wa CCM kwa sababu ataweza kuwabana.

Zaidi amedai kuwa aliyeongoza kura za maoni Ndugu Steven Masele atampangia kazi ya ukuu wa Mkoa au ubalozi. Picha inayoonekana tayari kuna ugumu katika jimbo hilo kwa kutokukubalika kwa mgombea aliyepitishwa kinyume na pendekezo la kura ya maoni.

Ameendelea kudai kuwa wasiangalie sura nzuri hali iliyoonesha kuwa kwa mtazamo wake Masele anasura nzuri ukimlinganisha na Katambi.

Mkuu bado tupo nyuma sana kisiasa, kwani wewe ulitaka aseme nini ? Any politician you know is selfish.
 
Hapo ndo mjue Rais Magufuli ni genius, unaweza ukazani kamsahau mtu ama kamuonea kumbe anampango naye mwingine mkubwa, mfano ni huyo Steven Masele.

Ambaye anaweza kuwa balozi kuwakilisha nchi kwenye taifa jingine, ama SADC, AU, na UN.
Hapo hakuna ugenious wowote.

Analipa fadhila kwa kumkata.

Na anaweza asimpe chochote uchaguzi ukishaisha. Hakuna la kumfanya.
 
Kwanini huyo kitimbi asipewe huo ukuu wa mkoa au Ubalozi kwani kuna shida gani hapo
Mjomba anapenda wanaoikosoa upinzani waziwazi na fact na ukiangalia katambi kwenye siasa za uongeaji yupo fit na hivi alikua mwenyekiti bavicha bas nondo za kuikanyaga CDM anaztoa kwenye historia tu na ndo maana mkubwa wa kazi kamuelewa
 
Back
Top Bottom