Huyo ndio rais wakoYe si ndo kamtaka katambi wapiga kura walimtaka masere hivi unamuacha vipi masere unamteua aliyepata kura 4
Huyo ndio rais wakoYe si ndo kamtaka katambi wapiga kura walimtaka masere hivi unamuacha vipi masere unamteua aliyepata kura 4
Acha upuuzi mkishiba maharagwe mnywe majiHapo ndo mjue Rais Magufuli ni genius, unaweza ukazani kamsahau mtu ama kamuonea kumbe anampango naye mwingine mkubwa, mfano ni huyo Steven Masele.
Ambaye anaweza kuwa balozi kuwakilisha nchi kwenye taifa jingine, ama SADC, AU, na UN.
Sijawahi mchagua,na sito Ni sawa na kuikosea nafsi yangu na kumkufuru Mungu,kukiuka hio nadhiri Ni sawa na kuhalalisha mtz mwenzangu kuuwawa,kusomeshwa namba,kubambikwa kesi,kufa na njaa,kubomolewa nyumba yake,ung'ang'anizi wa madaraka.Huyo ndio rais wako
Walionyeshwa karangaWengi wanaungulia balaa
Akihutubia wakazi wa Tinde huko Shinyanga, mgombea Urais wa Tanzania kupitia CCM amesisitiza wananchi kutomchagulia wagombea wa Vyama vya Upinzani hata kama wanafaa. Amedai kuwa wamchagulie madiwani na wabunge wa CCM kwa sababu ataweza kuwabana.
Zaidi amedai kuwa aliyeongoza kura za maoni Ndugu Steven Masele atampangia kazi ya ukuu wa Mkoa au ubalozi. Picha inayoonekana tayari kuna ugumu katika jimbo hilo kwa kutokukubalika kwa mgombea aliyepitishwa kinyume na pendekezo la kura ya maoni.
Ameendelea kudai kuwa wasiangalie sura nzuri hali iliyoonesha kuwa kwa mtazamo wake Masele anasura nzuri ukimlinganisha na Katambi.
Hapo hakuna ugenious wowote.Hapo ndo mjue Rais Magufuli ni genius, unaweza ukazani kamsahau mtu ama kamuonea kumbe anampango naye mwingine mkubwa, mfano ni huyo Steven Masele.
Ambaye anaweza kuwa balozi kuwakilisha nchi kwenye taifa jingine, ama SADC, AU, na UN.
CCM haina rafiki hata siku mojaWalionyeshwa karanga
Hakuna mwanasiasa yeyeto aliyewahi toka upinzani akahamia ccm akashine si kaburu,Lamwai,tambwe,makongoro,nk.CCM haina rafiki hata siku moja
ni kweli kila mwanasiasa ni mlafi na mbinafsi. Lakini kwa hili la masele jamaa amepata tabu sana kumnadi katambi. Katambi naye hata charisma ya kujinadi pia hana.Mkuu bado tupo nyuma sana kisiasa, kwani wewe ulitaka aseme nini ? Any politician you know is selfish.
KweliHakuna mwanasiasa yeyeto aliyewahi toka upinzani akahamia ccm akashine si kaburu,Lamwai,tambwe,makongoro,nk.
Mkuu hua nashindwa kujua maana ya afisa kipenyo ni nini hivi boss maana wanatajagwa kwa hawa UT sasa cjui afisa kipenyo ndo ina maana ganiAfisa kipenyoView attachment 1556922
Mjomba anapenda wanaoikosoa upinzani waziwazi na fact na ukiangalia katambi kwenye siasa za uongeaji yupo fit na hivi alikua mwenyekiti bavicha bas nondo za kuikanyaga CDM anaztoa kwenye historia tu na ndo maana mkubwa wa kazi kamuelewaKwanini huyo kitimbi asipewe huo ukuu wa mkoa au Ubalozi kwani kuna shida gani hapo
Usimfananishe Lissu na hiyo takataka yenuAnatoa clip nzuri zinazotuhabarisha mipango miovu iliyopangwa ughaibuni kuja kutuvurugia amani yetu
Usimfananishe Lissu na hiyo takataka yenuAnatoa clip nzuri zinazotuhabarisha mipango miovu iliyopangwa ughaibuni kuja kutuvurugia amani yetu
Hahahaaa..... Mcheza porn n mremboHamia Kawe ndiko kuna wagombea ubunge warembo.
Aiseehapo mwisho ulivyomalizia, imebidi nicheke tu